Unajua wanaoshabikia hii filamu hawapandi daladala labda...
Ukipanda daladala siku hizi utajua kibao kishageuka zamaaani!
Mungu mkubwa tena sana aibu itawaangukia tena km ilivyokuwa kwa mwangosi viva chadema!!.
Unajua wanaoshabikia hii filamu hawapandi daladala labda...
Ukipanda daladala siku hizi utajua kibao kishageuka zamaaani!
Chadema huwa hawatengenezi video ila wao hufanya "live" kupitia M4C. Hujaliona hilo? Kuchakachua ni mali ya CCM (wana copywright katika hilo) .Hizi ni siasa za majitaka, cdm hawawezi kuchezea hata kushika majitaka; cdm wanaogopa kupata maambukizo, nao wakageuka mafisadi na wauaji.CDM tengenezi VIDEO ya kuwachonganisha CCM na wananchi ili wasiichague tena mwaka 2015, ndio dawa yao!
mkuu sio tu kuwa zimezeeka, zina ugonjwa wa ukoma pia,Propaganda za CCM zimezeeka kama walivyozeeka wao wenyewe
ili muwafungulie mashtaka ya uchochezi. Ukiota moto wa Mjinga utausanyia kuni. Hatuwezi kuingia mtego huo wa kuvunja sheria kama nyie mlivyovunja. CHADEMA ni Chama makini hatukurupukiwalishaambiwa hapa kama ile video imetendenezwa basi wataalam wa IT toka CHADEMA watengene nyingine ya mswahili ili tuione na tuamini maneno yao ila wao wamebakiwa kutukana matusi tuu!
Mimi nadhani kipindi hiki muhimu ndugu zangu makamanda mkajadili jinsi ya kumpelekea sindano za insulin bwana gaidi huko rumande badala ya kupoteza muda kupaka rangi upepo. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees
ili muwafungulie mashtaka ya uchochezi. Ukiota moto wa Mjinga utausanyia kuni. Hatuwezi kuingia mtego huo wa kuvunja sheria kama nyie mlivyovunja. CHADEMA ni Chama makini hatukurupuki
mimi sio CCM kwa taarifa yako
from where? kwa watekaji au? niache kama nilivyo.Tatizo akili yako imekaa kiCcM cCm., u need deliverance.
Wapiganaji waliopo ccm ni akina nani hao?
Ningependa nitajiwe majina!
mimi sio CCM kwa taarifa yako