federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
Hiyo tar18 ulimjibuje???
Hizi akili nazo, kwa hiyo ili aonekane kidume ni lazima apite nae? Hivi mdada wa aina hii si bora ukaonekana 'joka la kibisa'?Anakuwashia green light pita nae! To defend ur manhood asije akakuona joka la kibisa!
Hiyo tar18 ulimjibuje???
Endeleeni kula matango pori.. Achaneni na hivyo vimaswali uchwara...... Mwenzetu anajitafutia KikiHiyo tar18 ulimjibuje???
Ha ha issue sio nilijibu nini hapa we ushawahi kukutana na situation kama hii?
Mtakuja tongoza majini nyie, shauri yakoView attachment 461826
Nilikutana nae barabarani nikavutiwa nikaomba namba nikawa katika process za moja ya mbinu zangu za law of attraction (am not in needy sana nilijifanya), nimechoka sana asubuhi nilikutana na huu ujumbe,nimeishiwa pose kiukweli
Sasa situation kama hii wataalamu wenzangu ulipowahi kukutana nayo ulii solve vipi
Man law of attraction naitumia sana. Ila tatizo si kwa wanawake wote itafanya kazi.View attachment 461826
Nilikutana nae barabarani nikavutiwa nikaomba namba nikawa katika process za moja ya mbinu zangu za law of attraction (am not in needy sana nilijifanya), nimechoka sana asubuhi nilikutana na huu ujumbe,nimeishiwa pose kiukweli
Sasa situation kama hii wataalamu wenzangu ulipowahi kukutana nayo ulii solve vipi
mkuu upo vizurMbona inaonesha ulishamjibu tangu tarehe 18
Tufahamishe ulimjibuje kwanza