Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Hivi hawa CCM siku hizi wakoje, Mzee Mugabe rafiki mkubwa wa CCM 'amedhibitiwa' huko Zimbabwe lakini maCCM wako kimya tu, ina maana hawajasikitishwa na kilichofanyika Zimbabwe?
Wamefurahishwa na kitendo cha jeshi kumwondoa madarakani rafiki yao ambaye majuzi hapa hata Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu walitoa taarifa ndefu kuonesha furaha waliyokuwa nayo baada ya Askofu wa Zanzibar kusifia kuwa utendaji na tabia za Mwenyekiti wa CCM ni sawa na za Rais wa ZANU-PF, Dr.Mugabe? Imekuwaje leo wakati wa dhiki CCM wamemwacha Dr.Mugabe akihuzunika peke yake, CCM mbona wamekuwa wasaliti hivi siku hizi?
Wamefurahishwa na kitendo cha jeshi kumwondoa madarakani rafiki yao ambaye majuzi hapa hata Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu walitoa taarifa ndefu kuonesha furaha waliyokuwa nayo baada ya Askofu wa Zanzibar kusifia kuwa utendaji na tabia za Mwenyekiti wa CCM ni sawa na za Rais wa ZANU-PF, Dr.Mugabe? Imekuwaje leo wakati wa dhiki CCM wamemwacha Dr.Mugabe akihuzunika peke yake, CCM mbona wamekuwa wasaliti hivi siku hizi?
[HASHTAG]#Polepole[/HASHTAG] please, toa basi vile vitamko vyako, tafadhali sana!