Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Siku Watanzania wakija kushtuka na kugundua kwamba mgonjwa wao ni fraud na amekuwa akiwadanganya tangia siku ya kwanza ili kupata huruma yao na kwamba alichopitia na anayopitia anayastahili nafikiri itawabadilisha wengi jinsi wanavyoyaangalia maisha.
Mmekuwa duped, huyo jamaa yenu ni fraud na anaishi kwa huruma yenu huku ndani yake akiwacheka na kuwaona wajinga, mnatumiwa bila ya kujijua.
Amkeni.
Mmekuwa duped, huyo jamaa yenu ni fraud na anaishi kwa huruma yenu huku ndani yake akiwacheka na kuwaona wajinga, mnatumiwa bila ya kujijua.
Amkeni.