theD
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 311
- 458
Siku vijana watakapoamua kupiga kura ndo utakua mwisho wa CCM kuongoza nchi.
Nimesimamia chaguzi baadhi, naa wapiga kura wengi wa CCM ni wazee na kama vijana ni idadi ndogo sana na ni wale vijana ambao hawajitambui ambao wanategemea kupewa tishet za ccm ili ziwe nguo zao za kuvaa.
CHADEMA wamefanikiwa kuwashawishi vijana wengi lakini bado kuna shida moja tu, vijana wengi hawapigi kura.
Nimesimamia chaguzi baadhi, naa wapiga kura wengi wa CCM ni wazee na kama vijana ni idadi ndogo sana na ni wale vijana ambao hawajitambui ambao wanategemea kupewa tishet za ccm ili ziwe nguo zao za kuvaa.
CHADEMA wamefanikiwa kuwashawishi vijana wengi lakini bado kuna shida moja tu, vijana wengi hawapigi kura.