Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,040
- 3,286
Mmeanza ukuda
Hawa madogoolai wa darfreemarket wanaleta mbishe za kiwaki sana.
Mmeanza ukuda
Unaongelea arusha ya mwaka gani jombiii?Ile barabara ya kuelekea Kule Kisongo ( sijui ndio Airport) imeshajengwa kwa kiwango cha rami? Maana ilikua vumbi tupu
Achana na muda,angalia umbali. Boko hadi Kongowe si chini ya 30km. Kama uko na gari inatembea 60kph ni nusu saa. Je km30 si ushatoka Arusha uko Moshi?Kwani bila foleni DSM, kutoka Boko hadi Kongowe ni muda gani? Nina uhakika humalizi Arusha kwa dk 5 lkn pia ukweli ni kwamba miji yetu ni midogo. Sijui unalinganisha na mji gani ila kwa Tanzania tu, Arusha imeacha miji mingine mbali sana isipokuwa DSM. Iwe kwa miundo mbinu ya barabara, majengo na mishe mishe za mjini kwa ujumla.
Unafanisha stendi ya ubungo na stendi ya Arusha mkuu uko serious kweli.
Duh zote naona vituko tuUnafanisha stendi ya ubungo na stendi ya Arusha mkuu uko serious kweli.
Nijuze waliweka rami mwaka gani maana nadhani 2017 mwishoni au 2018 mwanzoni ndio nilipita pale ikiwa full vumbiUnaongelea arusha ya mwaka gani jombiii?
Hapana sio hiyo mkuu, kuelekea kule Airport ile barabara ya vumbi inaitwaje?Mkuu unazungumzia barabara gani maana ninayoifahamu mimj ni main road ya kwenda babati na inalami miaka buku
Hapana sio hiyo mkuu, kuelekea kule Airport ile barabara ya vumbi inaitwaje?
Unaongelea barabara ya kutoka mjini mpaka kisingo ama hizo hatua kadhaa za kisongo mpaka airport???Nijuze waliweka rami mwaka gani maana nadhani 2017 mwishoni au 2018 mwanzoni ndio nilipita pale ikiwa full vumbi
Namanga bado ni Arusha. Au wewe ni raia wa Kenya?Arusha huwa napita kuelekea Namanga
Mtoa mada atakuwa msukumaMnalinganisha Arusha na mji upi labda? Inaonekana kuna wengine wamefika Dar na Arusha tu. Arusha kwa Tanzania hii ni mji mkubwa sana na inastahili sifa inazopewa. Arusha ina majengo ya maana. Ina Barbara za lami za kutosha. Ni mji gani mwingine wenye barbara za lami mji mzima kama Arusha ukiondoa DSM?
Hapana mkuuNamanga bado ni Arusha. Au wewe ni raia wa Kenya?
Hata kama unapita ukienda Kenya uwe unapita nyumbani kwangu kunisalimia rafiki
Wewe unaongea kufurahisha genge au unaongelea ulichokiona?Nijuze waliweka rami mwaka gani maana nadhani 2017 mwishoni au 2018 mwanzoni ndio nilipita pale ikiwa full vumbi
Ok, karibuHapana mkuu
HAhhaa.Mimi niliona kama nipo Gongo la Mboto hivi. Eti ndani ya dakika 5 nimeumaliza mji wote!
Hahaha ila wenyewe wakikuhadithia sasa, uongo mwingi sana, utasikia Geneva ya Africa!
Machalii wa Arusha mnazingua asee, Arusha ni ya kawaida sana!
MAPOVU YOTE RUKSA!
Siku nyingine ukija AR nitafute babeKitu kikubwa kilicho nishangaza Arusha hali ya hewa na kiswahili chao japo nilikaa kwa msaa machache.