Lete ushahidi hapa kufukuzwa kwa Mnyika na wenzakeHe has every tool required on the ground running. Ila anasikitika tuu Mnyika na wezake wamefukuzwa kwenye kampeni team ya Lissu.
Lete ushahidi hapa kufukuzwa kwa Mnyika na wenzakeHe has every tool required on the ground running. Ila anasikitika tuu Mnyika na wezake wamefukuzwa kwenye kampeni team ya Lissu.
NECCCM Tumeccm wanatembea na matokeo mifukoni wamepiga kura zao binafsi siyo kura za wananchiUnaombea iwe hivyo ila haiwi.....hata JPM akisafiri akaenda nje ya nchi akakaa wiki nnne atashinda kwa asilimia zaidi ya 95
Mkuu achana na CCM wasikuumize na propaganda zao za kishambaLete ushahidi hapa kufukuzwa kwa Mnyika na wenzake
Huyu mdogo wangu ni muongo sana.Hakika,TUNATEKETEZAAAAAAAAA.View attachment 1582238
Anyooshwe kwa kukosa weledi na kuzungukwa na mambumbumbuNyie si muendelee na Kampeni au mmeishiwa masimango? Mnasubiri Magufuli aongee ndo Lissu apate cha kumsimanga.
Kweli mkuuMkuu achana na CCM wasikuumize na propaganda zao za kishamba
Mfano kuwasingizia uongo wapinzani lazima wajibu hapo hapo hata hii ya polepole kuja na ushindi wa mezani goli la mkono lazima waijibu harakaZipo hoja zinazotakiwa kujibiwa tit for tat
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde kuna daraja linarekebishwa usiku na mchana njia ya Dom - Iringa kupitia pale Mtera kwa ajili ya gari za Meko kupita kuja huku mikoa ya nyanda za juu kusini, si unajua ana magari kama msafara wa siafu...Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Watanzania dizain yako siyo wengi kihivyo mpaka Jiwe ashinde kwa asilimia hizo. Kwa uchaguzi huru jiwe afikishi hata 20%Unaombea iwe hivyo ila haiwi.....hata JPM akisafiri akaenda nje ya nchi akakaa wiki nnne atashinda kwa asilimia zaidi ya 95
Cyprian Musiba na le mutuz wamempelekea waganga wa kienyeji wapige pesa kwa njia haramu huko CCM kila la ajabu ni fursaItakua betri imeisha chaji , ngoja achaji kidogo
Anakusanya nguvu anamtuma PLPL na yule mfukuza tumbili kusafisha njiaKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Anatumia magari ya Serikali inafaa katiba irekebishwe katiba ya Tanzania ni katiba mbaya kuliko zote DunianiKwa taarifa nilizozipata hivi punde kuna daraja linarekebishwa usiku na mchana njia ya Dom - Iringa kupitia pale Mtera kwa ajili ya gari za Meko kupita kuja huku mikoa ya nyanda za juu kusini, si unajua ana magari kama msafara wa siafu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete ushahidi hapa kufukuzwa kwa Mnyika na wenzake
Wakurugenzi wanapokea vitisho saa hii Dodoma.Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Hakuna ugonjwa mbaya kama wa akili, na hupatikana zaidi kwa mboga mbogaMwenye macho haambiwi ona, na bado baada ya uchaguzi nyumba haitokalika, mtabaki na wabunge wamezidi sana watatu (3) na hela hakuna.
MJITAYARISHE NA CONSEQUENCES ZA KUPOTEZA UCHAGUZI ON 28TH, OCTOBER, 2020.
Kuna Habari zinasema yu taabani kitandani matatizo ya moyoKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
NECCCM Tumeccm wanatembea na matokeo mifukoni wamepiga kura zao binafsi siyo kura za wananchi