Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,284
Huyu binti nilimkubali sana tangu nilipomuona mwaka jana na tumekuwa na mahusiano murua. Ni binti mpambanaji tofauti na wengi kutoka mkoa huo.
Baba yake alikuwa msambaa asilia (alishafariki) lakini mama yake ni chotara wa kiarabu na hivyo binti amekuwa na hizo elements za kiarabu katika muonekano wake.
Mama yake aliweka matamko kwamba hataki mkristo hivyo binti akakubali 'tuwazunguke' kwa kuwaletea mjukuu ili maneno yaishe. Kweli sasa hivi wameufyata maana tayari hali ya binti imeleta majibu.
Baba yake alikuwa msambaa asilia (alishafariki) lakini mama yake ni chotara wa kiarabu na hivyo binti amekuwa na hizo elements za kiarabu katika muonekano wake.
Mama yake aliweka matamko kwamba hataki mkristo hivyo binti akakubali 'tuwazunguke' kwa kuwaletea mjukuu ili maneno yaishe. Kweli sasa hivi wameufyata maana tayari hali ya binti imeleta majibu.