Siwamilele
JF-Expert Member
- Oct 22, 2019
- 288
- 730
CCM walipotia mguu wao wa kijani, kwenye timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars), mpaka wakafikia kumtuma "Bashite" eti akalete ushindi Misri chini ya CCM.
Nyote mnajua kilichotokea!
Watanzania walijitenga mbaaaali na timu yao ya Taifa na kuibatiza jina la "TAIFA CCM" Timu ikabamizwa.
Haya, mkulima akakamata ndege ya watanzania huko SA, mkasema taifa liungane kudai ndege yetu.
Watanzania wakasema "thubutu" si mnapofanya kitu kwa kodi zetu, mnaanza kutunanga eti ni CCM na ya JPM ndo imefanya? Sisi hatuna mda na ndege yenu "mtajijuuuu"
Nyote si mnajua kilichotokea? Mlikula dili na SA mkaja na majigambo eti nyie ni "wanaume" mkulima (beberu)
Akawapandia Cananda, "majike" mkashika mimba, tarehe zilipofika mkajifungua kimyakinya hahahaaaaaa watanzania wakacheeeeeka! Hayawahusu.
Moshi wa Ruangwa sasa heheheheeeee ilikuwa balaaa!
Watanzania wakasema "Israel" shikilia hapo hapo usiachieeeeee!
Netanyahu akazingua doh! Watanzania wakahuzunika sana.
Sijui wale wazee wa Ruangwa hawakuwasiliana vizuri na serikali ya mjini "Tel aviv"? Teh teh!
Juzi juzi WB wakazingua, watu weweeeeeeeeee full shangwe dah!
Watu wakikuchoka bhana, hawaangalii hata hasara aisee.
Sasa, mimacho keshaenda kuwavulia beberu, kiburi chote kwishiney, mabeberu wanakula mzigo tu hahahaaaaa wanakula tunda "kimasihara"
Jana viongozi wa upinzani mkawabebesha "hatia" watanzania wakasema thubutuuuuuuuuu!
Na umaskini wetu lazima tuwaonyeshe "NGUVU YA UMMA" Hao ndio viongozi wetu na ndio viongozi wa taifa hili ingawa hawana "dola" ya Bashiru.
Mnacho paswa kufahamu ni kwamba, watanzania walisha wakataa na hakuna namna nyingine itakayo wafanya wawakubali na kuwapenda.
Nasema, sio muda, "MTAJIKUTA MMEBAKI WENYEWE"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyote mnajua kilichotokea!
Watanzania walijitenga mbaaaali na timu yao ya Taifa na kuibatiza jina la "TAIFA CCM" Timu ikabamizwa.
Haya, mkulima akakamata ndege ya watanzania huko SA, mkasema taifa liungane kudai ndege yetu.
Watanzania wakasema "thubutu" si mnapofanya kitu kwa kodi zetu, mnaanza kutunanga eti ni CCM na ya JPM ndo imefanya? Sisi hatuna mda na ndege yenu "mtajijuuuu"
Nyote si mnajua kilichotokea? Mlikula dili na SA mkaja na majigambo eti nyie ni "wanaume" mkulima (beberu)
Akawapandia Cananda, "majike" mkashika mimba, tarehe zilipofika mkajifungua kimyakinya hahahaaaaaa watanzania wakacheeeeeka! Hayawahusu.
Moshi wa Ruangwa sasa heheheheeeee ilikuwa balaaa!
Watanzania wakasema "Israel" shikilia hapo hapo usiachieeeeee!
Netanyahu akazingua doh! Watanzania wakahuzunika sana.
Sijui wale wazee wa Ruangwa hawakuwasiliana vizuri na serikali ya mjini "Tel aviv"? Teh teh!
Juzi juzi WB wakazingua, watu weweeeeeeeeee full shangwe dah!
Watu wakikuchoka bhana, hawaangalii hata hasara aisee.
Sasa, mimacho keshaenda kuwavulia beberu, kiburi chote kwishiney, mabeberu wanakula mzigo tu hahahaaaaa wanakula tunda "kimasihara"
Jana viongozi wa upinzani mkawabebesha "hatia" watanzania wakasema thubutuuuuuuuuu!
Na umaskini wetu lazima tuwaonyeshe "NGUVU YA UMMA" Hao ndio viongozi wetu na ndio viongozi wa taifa hili ingawa hawana "dola" ya Bashiru.
Mnacho paswa kufahamu ni kwamba, watanzania walisha wakataa na hakuna namna nyingine itakayo wafanya wawakubali na kuwapenda.
Nasema, sio muda, "MTAJIKUTA MMEBAKI WENYEWE"
Sent using Jamii Forums mobile app