OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Wana JF zile siku saba alizopewa mheshimiwa John John Mnyika kuwasilisha ushahidi wa kuonyesha kuwa Mwigulu Mchemba alihusika na EPA kule BOT zilishapita, je amewasilisha ushahidi huo? na je utasomwa bungeni au utamalizwa kimya kimya kama ule aliotoa kamanda Lema kuthibitisha Pinda alidanganya bunge? mwenye taarifa kuhusu hilo atuwekee hapa tudadavue!!