Siku saba za uchunguzi wa moto sokoni Kariakoo zinaanza kuhesabiwa lini?

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,792
287,994
F6770C5B-F3F7-4166-B166-7A1419AEDFFA.jpeg
 
walimuomba tena siku saba nadhani,alilisema hili juzi alipoenda kuswali swala ya Eid pale kariakoo msikiti wa mtoro.
 
Waziri Mkuu kawaongezea siku saba tena. Amesema jana alipokuwa kwenye Msikiti wa Mtoro.
Halafu elewa historia ya Msikiti wa Mtoro,hotbed of revolution.
 
haifahamiki walianza lini kuhesabu ila taarifa iliyopo ni kwamba waliomba waongezewe muda ili wale posho zaidi.
 
Mkuu zingatia mtu alietoa hizo siku saba ni nani. Huyu ni yule yule ambae aliongea na marehemu na kutuaminisha kuwa ni mzima wa afya.
Hii nchi ni ya mhemko na maigizo. Keshapata kiki aliyoitaka kwa kipindi husika sasa maisha yanaendelea.
Na siku wakikosa pa kupigia hela za bia watakuja tena na kuunda tume mpya ya kuichunguza tume ya sasa inayochunguza moto wa kariakoo, wakilipana mabilioni ya pesa kuchunguza wachunguzi wanaochunguza sasa. Only in Tanzania.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom