Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Kama hiyo ni busara, maoni ya mtoto yalikuwa ni ya aina gani? Hata hivyo, kazi yake haikuwa kuwashughulikia wanaomsema. haikuwa kazi iliyomfanya tumchague.KIKWETE ALIKUWA MWENYE HEKIMA NA BUSARA. alikuwa mwenye kuona mbali.
alikuwa kiongozi wala hakuwa mtawala
Baada ya jibu moja unampa busara, Vipi yaliyofuata? Ulimboka alisalimika?