Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 8,719
- 2,000
Kisa cha kweli cha miaka kadhaa iliyopita!
Riziwani : Baba mbona wanakusemasema, wanakufanyia fitina, mbona unawaachia wanakukwamisha?
Jakaya: Mwanangu, laiti ungejua mamlaka ya Rais yalivyo, laiti nikiamua kuwashughulikia, nitaumiza wengi. Mwanangu waache waseme, watasema mwisho watachoka.
Riziwani : Baba mbona wanakusemasema, wanakufanyia fitina, mbona unawaachia wanakukwamisha?
Jakaya: Mwanangu, laiti ungejua mamlaka ya Rais yalivyo, laiti nikiamua kuwashughulikia, nitaumiza wengi. Mwanangu waache waseme, watasema mwisho watachoka.