Sasa umeandika kitu gani hiki?
Huoni muujiza wa Rais wa nchi kuwa MC?
Dr. Dau bado hajapewa kituo cha kazi!?
Terehe 23 haiko mbali wameanza kujiandaa kisaikolojiaNi ajabu leo faizafox amekuwa mtu wa kumpiga kijembe rais,
mlipokuwa mnaimba wataisoma mlidhani ni akina nani.
Inaelekea Dr Dau hayumo kwenye plans za Magufuli. Jamaa atakuwa ametoswa kiaina.
Inamsaidia nini mwananchi wa kawaida kama Rais akiwa mc.?!Huoni muujiza wa Rais wa nchi kuwa MC?
Bado yupo kijiwe cha kazi nyingine mkuu.Dr. Dau bado hajapewa kituo cha kazi!?
Hii ni dharau kubwa saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kumuita Rais wa nchi MC, naomba IGP aione hii, na hatua kali zichukuliwe mara moja iwe fundisho kwa wengine
Hahahaha Magufuli aliwaweza sana wazushi maana aliwamaliza kabisa na wengi hawakutegemea kwakuwa walijazwa Majungu sana..hakika hadi leo wamebakia vinywa wazi kabisa. kuna mtu nilikuwa nimekaa nae akasema kweli" Magufuli siwa kutabirika na nimeamini Dr Dau alipigwa majungu". Hadi leo kuna watu hawaamini kilichotokea pamoja na Majungu.
Pia siku hiyo Rais alikiwa MC wa Makonda, pale alipomuinua Makonda amkaange Wilson KabweHuoni muujiza wa Rais wa nchi kuwa MC?
Kwani neno master of ceremony (MC)...ni tusi sikuizi,,,,au atashtakiwa kwa kosa lipi sasa