FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
- Thread starter
- #221
Duh! Pia alikuwa "Kama ulivyomuita" wa wapinzani siku alipozindua bunge!
Hivi Dau yuko wapi?
Dau katoka kwenye ukurugenzi wa shirika kawa mwenye kupigiwa mizinga ya saluti na kukagua magwaride ya heshima akishindikizwa na wafalme na Marais.
Hakika Allah ni Qadir.