zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nilikua tumbon mwa mama yangu,hiyo miezi,nilizaliwa mwez waTisa 84,
ILA LEO UKINIULIZA KUHUSU SOKOINE
1.Huyu alifunika watanzania kwa kupendwa na zani ata baba wa taifa hamfikii,akua mbinafsi,nyerere anamzid jambo moja sokoine,kua muasisi tu(eshimu mawazo yangu)
2.nilisoma kitabu cha historia ya marehem nikiwa darasa la nne,machozi yalinitoka sana
Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Hao vilaza, ndio walioifikisha Tanzania kuwa maskini wa kila kitu, kuanzia elimu mpaka akili.