financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,132
- 40,695
For sure, mnaishia kuulizana are you the one kule mjanja + matusii kiuhalisia ni wastaarabu tu yaani😂Ila inakua na furaha fulani hivi kukutana ana kwa ana
For sure, mnaishia kuulizana are you the one kule mjanja + matusii kiuhalisia ni wastaarabu tu yaani😂Ila inakua na furaha fulani hivi kukutana ana kwa ana
Welcome to the clubNot yet a CPA (T) holder mkuu rather on progress to be... Inshallah
Mapenzi yamekupiga 2-0 ndugu yangu, pole na ulivo jinga umependa tena kabla hujapona aaih utalia soon tena😂 (joke bana siombei hivo)Mapenzi hoyeee..?
Usilie wee😂Aisee ntaliaa, ila thank you Mama the Prettiest, love you too 😍
Thank you and congrats maana si mchezo to be a CPA (T) holderWelcome to the club
Unamaanisha pimbi ni mimi mkuu?🙄Harakati za Pimbi
Ni kweli na napenda wrestling hahaa.Anacheza pia karate so beware
HahaaWewe ni mzee, mzee means alishakua na mchumba aka Mrs. Shirimaa
Wafanya kaz wa benk or financial weng huwa ni wazur na wanamavyura yakutosha tu,kwa hyo na wew kama una chura bas ni mzurKweli kabisa asiweke % nyingi uhalisia ni tofauti
Kwan ukiliwa kimasihara kuna shda gan??Mambo ya kimasikhara eeh, ntazidisha umakini aisee
Wewe wakuniambia mimi haya..? Ama kweli dunia imevaa dera! Mimi 2-0!!!! Basi wewe ni negative 5 kwa 0 Yani mpaka unadaiwa!.. mbilimbi mkubwa wee..😂Mapenzi yamekupiga 2-0 ndugu yangu, pole na ulivo jinga umependa tena kabla hujapona aaih utalia soon tena😂 (joke bana siombei hivo)
Kuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.Kwan ukiliwa kimasihara kuna shda gan??
Punguza makasiriko😂 huachwi tena banaWewe wakuniambia mimi haya..? Ama kweli dunia imevaa dera! Mimi 2-0!!!! Basi wewe ni negative 5 kwa 0 Yani mpaka unadaiwa!.. mbilimbi mkubwa wee..😂
Ok!Kuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.
...Kwa urembo wake ule....Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki za hapa na pale ilimradi mdomo uende kinywani, katika pita pita zangu humu JF kwenye jukwaa fulani niliwahi kumuona dadaangu Financial Services alikuwa ametoa komenti flani katika hiyo mada kitu ambacho kikazidi kunifanya nimfuatilie zaidi kutaka kumfahamu kwa undani nikaja kumgundua ni mwanamke mcheshi na anaecheka na kila mtu yupo comfortable lakini dhumuni langu la nyuzi yangu hii ni kwamba kama siku nitakuja kukutana na huyu dada financial services nitaka nimuulize maswali yangu mawili haya hapa.
1. Amewezaje kujiweka katika hali ya ucheshi na kuwaheshimu kila member wa JF kwa urembo wake alionao ni ngumu kwa mwanamke kama yeye kukosa malingo kama wanawake wenzie wa JF ambao mda wote pm wamefunga sometime wana majibu mabaya sana.
2. Ikiwa ni mchangiaji mzuri sana katika lile jukwaa letu la kula tunda kimasihara nimewahi kumfuma kama mara mbili je amejiandaaje kuzikwepa mbinu za masela wanaokula tunda kimasihara ili na yeye asije andikiwa uzi kule? Pia hapo hapo nitamuunganishia na swali lingine Jamii Forums imempa faida gani na hasara gani toka alipojiunga hadi sasa?
financial services
Kweli unachosema sema mimi nawish kukutana na ww mkuuKuliwa kimasihara wala si shida na naamini si kimasihara ni planned kabisa maana mdada kama hayuko tayari hawezi kuhave sex bila ridhaa yake, shida ni kuja kutangaza na kujisifia publicly ndiyo inakua kama udhalilishaji hivi ndiyo hatupendi.
Kwahiyo unataka tuonane for kimasihara ila isiwe ya kuja kutangaza humu? Ni kweli huo uzi wako ulikua ni mtego kama watu walivosema?Kweli unachosema sema mimi nawish kukutana na ww mkuu
Mimi si mfanyakazi wa Bank mkuu so utaelewa sina hivo vyote chura wala uzuriWafanya kaz wa benk or financial weng huwa ni wazur na wanamavyura yakutosha tu,kwa hyo na wew kama una chura bas ni mzur
Unachura bhanaMimi si mfanyakazi wa Bank mkuu so utaelewa sina hivo vyote chura wala uzuri