44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,138
Papo nsekie fijoo, wala nganwapo unkota kalumbu, basi tu lumo kaavatar hako ndisii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papo nsekie fijoo, wala nganwapo unkota kalumbu, basi tu lumo kaavatar hako ndisii?
mkuu ww nakuheshimu kuliko ata JF yenyewe.Unamaanisha pimbi ni mimi mkuu?
Wala usiogope huenda kweli mimi ni pimbi😂mkuu ww nakuheshimu kuliko ata JF yenyewe.
Hii reply n ya mtoa thread, sio ww mkuu
neno CPA msilitaje taje sana humu, mana kila nkiliona namkumbuka mhasibu wa college ya Tiba (udom) (CPA Abdul) alikuwa mnoko sana.Wala usiogope huenda kweli mimi ni pimbi
Haya
Dah hiyo namba ya simu ni risk mkuu, kaswali gani nimeruka ka masikhara?Wooow umejibu swali langu vizuri sana sema japo kuna kaswali ka uchokozi umekaruka kukajibuila sio mbaya siku tukikutana naweza kukuuliza sema nimependa sana tuwe marafiki ni mwanamke mmoja ambae nakukubari sana na nimekuwa nikikufuatilia kwa karibi mno mimi pia nimesoma hiyo kozi yako uliyosoma sema nimesoma BPA ila now npo jobless bado sijapata mchongo na imani kampani yako kwangu nitajifunza vitu vingi 0622271517 hii nambaangu japo nimeamua kuiweka public despite it can be a risk to me by whatever
Hukulipa ada ama?😂😂 lazima wawe wanoko kupata CPA si mchezo, alikukomesha. Ningekua mimi ungejuta zaidi🤪neno CPA msilitaje taje sana humu, mana kila nkiliona namkumbuka mhasibu wa college ya Tiba (udom) (CPA Abdul) alikuwa mnoko sana.
Sawa sawa mkuuDah hiyo namba ya simu ni risk mkuu, kaswali gani nimeruka ka masikhara?
Usijali utapata tu kazi siku yako inakuja ila muhimu kujituma kutafuta bila kuchoka, fukuzia fursa popote zilipo.
Mmh ndege tena🙄, haya mkuu uwe na Jumapili njema........ pia Malaya kwenye madangulo siwafaham na sijataja ndege yeyote humu
Mambo yao waachie wenyeweKila la kheri...
hahahahaKitu kama ulimbo flan hiv
Unataka kuvunjwa mbavu na liji Baunsa lake wewe!!..... hana shida yule ukimtaka atakuja tu ila sasa!! Gujemba gwake gule mweee! Miraba minne hutarudia tena....Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki za hapa na pale ilimradi mdomo uende kinywani, katika pita pita zangu humu JF kwenye jukwaa fulani niliwahi kumuona dadaangu Financial Services alikuwa ametoa komenti flani katika hiyo mada kitu ambacho kikazidi kunifanya nimfuatilie zaidi kutaka kumfahamu kwa undani nikaja kumgundua ni mwanamke mcheshi na anaecheka na kila mtu yupo comfortable lakini dhumuni langu la nyuzi yangu hii ni kwamba kama siku nitakuja kukutana na huyu dada financial services nitaka nimuulize maswali yangu mawili haya hapa.
1. Amewezaje kujiweka katika hali ya ucheshi na kuwaheshimu kila member wa JF kwa urembo wake alionao ni ngumu kwa mwanamke kama yeye kukosa malingo kama wanawake wenzie wa JF ambao mda wote pm wamefunga sometime wana majibu mabaya sana.
2. Ikiwa ni mchangiaji mzuri sana katika lile jukwaa letu la kula tunda kimasihara nimewahi kumfuma kama mara mbili je amejiandaaje kuzikwepa mbinu za masela wanaokula tunda kimasihara ili na yeye asije andikiwa uzi kule? Pia hapo hapo nitamuunganishia na swali lingine Jamii Forums imempa faida gani na hasara gani toka alipojiunga hadi sasa?
financial services
Hayaaa leooo!! haya leooo!!...... umemtaja financial service kaja kweli!! mwambie sasa!! mwambieee!! usiseme mara mie oooh! sijui tuonane wapi kule......pm mara ohoo! kijitonyama huyo hapo sema tuone!! heee!! ee.....Wala usiogope huenda kweli mimi ni pimbi😂
Haya👍
Alaaa! mnaanzaga iviviv!! mara........Sio kweli sina maana ya kutaka kukutana na ww ili nifanikishe lengo la kukula mbususu kimasihara but ngoja nikupe ushaidi mmoja kuna mdada niliwahi kukutana nae humu humu jf jina namuifadhi nilikutana nae jukwaa la siasa kule nilimpenda tu awe rafk kutokana na comment zake unajua humu mtu anapimwa na kile anachokiandika humu unamjua huyu mtu ni wa aina ipi japo somtym it not matter basi tukaanzaga urafiki humu bila kujuana almost 2 months then tukajaga kujuana ana kwa ana nimedumu nae urafiki hadi now ni kama dadaangu wa faida tunashauriana mambo mbalimbali ya kimaisha pia japo first time tumeonana wote tulikuwa surpise ila sometime it not bad kuwa na urafiki na different gender
usiwatetee!! hao ndo zao ohooo!....ivi tangu lini Kondoo kacheza na simba pua na mdomo??? aua mamy bado mdogo wewe?? Bora ungetulia na watu wzima hao hawatafunagi......Mkuu huenda hana nia hiyo hata, usimsemee
😀😀 aseme yoote namsikiliza hapaHayaaa leooo!! haya leooo!!...... umemtaja financial service kaja kweli!! mwambie sasa!! mwambieee!! usiseme mara mie oooh! sijui tuonane wapi kule......pm mara ohoo! kijitonyama huyo hapo sema tuone!! heee!! ee.....
mara oohe chukua number zangu sema!!.... sasa ....sema!
Lia tu Baby kwa raha zako ili ulize wengii humu...wakusindikize yaani unakuwa km muziki!! daa kumbe chema kinaonekana pasi na uwepo wacho!Aisee ntaliaa, ila thank you Mama the Prettiest, love you too 😍
Hawatafunagi nini tena mkuu Nyaru?😛usiwatetee!! hao ndo zao ohooo!....ivi tangu lini Kondoo kacheza na simba pua na mdomo??? aua mamy bado mdogo wewe?? Bora ungetulia na watu wzima hao hawatafunagi......