Siku Mwalimu Nyerere alipotua Baghdad na kumfokea Saddam Hussein

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.

MASAHIHISHO: Nilichanganya miaka ya kabla ya vita vya Ghuba nikasema mwishoni mwa 1970s badala ya mwishoni mwa 1980s. Hii ni kwa sababu nilikuwa nawaza vita mbili tofauti (Vita ya Ghuba vs Vita ya Iran na Iraq) huku nikiwa sina uhakika ni vita ipi iliyofuata baada ya tukio nililotaja.
 
Tukio lilitokea miaka ya 70...Hussein alikuwa rais wa Iraq mwishoni wa mwaka 79! Alifokewa wakati ana mwezi mmoja tu ofisini? Afu unasema muda si mchache ikaanza vita ya Ghuba ya Uajemi..wakati kiuhalisia vita ilianza mwanzoni mwa 90s..alafu kama haitoshi, unanyooshea viongoziwako kwa kutojua historia..unasikitisha sana
 
Dogo hata hujui vita vya Ghuba vilipiganwa mwaka gani? Hivi 70s hadi 89-91 hapo ni miaka ya karibu?
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
 
Huo ni uongo, kwanza Nyerere hangeweza kumfokea kiongozi wa nchi yeye akiwa Raia wa kawaida.

Na zaidi not Sadam Hussein
 
Jamaa umeleta chai Sadam gan ambaye kaingia ikulu miaka unayosema? Kaingia 79 alafu unasema 70
 
wamekudanganya hao waliokusimulia,
1. sadam husseni kaingia madarakani mwaka 1979

2. rais wa nchi huru kwenda kumkata mikwara mwenzake kwao?

3. Halafu we unasikia tu kuhusu sadamu nadhani, huyu wako wa sasa mnayemwona mbabe kwa sadamu ni mchumba tu.

4. Kumbuka pia sadamu alikuwa "hana urafiki" na watu weusi na wazungu, asingemkenulia meno mtu mweusi kumtishia
 
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
Saddam alikuwa Rais wa Kuwait na Nyelele ndiye aliyemzungumzia na wala siyo Nyerere kama ulivyotuaminisha.Ukiongea ujue unaongea na great thinkers.
 
Tukio lilitokea miaka ya 70...Hussein alikuwa rais wa Iraq mwishoni wa mwaka 79! Alifokewa wakati ana mwezi mmoja tu ofisini? Afu unasema muda si mchache ikaanza vita ya Ghuba ya Uajemi..wakati kiuhalisia vita ilianza mwanzoni mwa 90s..alafu kama haitoshi, unanyooshea viongoziwako kwa kutojua historia..unasikitisha sana
Uko vizuri mzee. Jamaa kakurupuka
 
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
Umelishwa matango pori.
 
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
Acha uongo
Nyerere hakuwahi kuwasiliana na Saddam kwa kuwa alikuwa upande wa Iran wakati wa vita ya Iran na Iraq
Ali Akbar Velayati,aliekuwa waziri wa mambo ya nje wa Iran,ilikua kama ana chumba chake pale msasani,alikua akipiga sana misele kwa mwalimu kutafuta kuungwa mkono,na alikuwa akipata uchochoro kupitia kwa mtoto wa Nyerere aitwae Salim Ahmed Salim.
Saddam kuona hivyo,naye akatuma ujumbe mzito kwa Nyerere,kuomba kuungwa mkono na Nyerere,ujumbe huo uliongozwa na makamu wa Rais wa Iraq,Bwana Twaha Muhiddin Al Maarouf,ndipo baada ya muda mfupi tukasikia vita imeisha,mpaka leo hatujajua Mwalimu aliongea nini na kada yule wa Baath party
Mwalimu hakuwahi kumfuata Saddam,labda alipita kujaza mafuta ndege tu
 
Wavutaji huwa wanadanganyana sana huko vijiweni. Halafu mnapigiana makofi kwa point zenu hizi... Kweli dunia imejaa watu wa aina mbalimbali.
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
 
Tukio lilitokea miaka ya 70...Hussein alikuwa rais wa Iraq mwishoni wa mwaka 79! Alifokewa wakati ana mwezi mmoja tu ofisini? Afu unasema muda si mchache ikaanza vita ya Ghuba ya Uajemi..wakati kiuhalisia vita ilianza mwanzoni mwa 90s..alafu kama haitoshi, unanyooshea viongoziwako kwa kutojua historia..unasikitisha sana
Hiyo habari ya nyerere kumfokea saddam ndio kwanza naisikia leo. Il kuanzia 1979 mpaka 1986 kulikuwa na vita ghuba ya uajemi. Kati ya iran na iraq. Marekani akimsaidia Sadam kabla ya kumgeuka 1990 kwenye ile vita ya dersist storm.

Labda ndio mleta mada anazungumzia
 
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
hizi hadithi za kuhadithiwa baada ya kuvuta bangi msituleteege hapa wajemeni
 
Kuna watu unaweza ukadhani wana akili ila utashangaa wanamlinganisha Mwalimu Nyerere na hawa viongozi 'wakuja' ambao hata historia ya miaka 20 iliyopita hawaijui achilia mbali ya miaka 100 iliyopita.

Niliwahi kuambiwa kuwa kuna siku, nadhani itakuwa miaka ya mwishoni ya 1970s, kuna ujinga ujinga fulani Saddam alikuwa anafanya, Nyerere akafunga safari hadi Baghdad, akamfokea Saddam (yes, Saddam huyu huyu ambaye kuna baadhi ya viongozi wetu wanatuambia alikuwa mzuri sana), halafu akapanda ndege akarudi zake Tanzania.

Nyerere akamwambia dawa yake iko jikoni. Nadhani haikupita muda vita ya Ghuba ikaanza.

Nitawatafuta watu wanaoijua hii story halafu nitarudi niijazie nyama zaidi ila kama kuna wanaoijua waweza kutuhabarisha zaidi.
Mkuu aliyekusimulia hayo na kukuaminisha hivyo kakuingiza chaka mbaya, kama kukulisha tango pori, kakulisha lile la kule Gamboshi.
 
Acha uongo
Nyerere hakuwahi kuwasiliana na Saddam kwa kuwa alikuwa upande wa Iran wakati wa vita ya Iran na Iraq
Ali Akbar Velayati,aliekuwa waziri wa mambo ya nje wa Iran,ilikua kama ana chumba chake pale msasani,alikua akipiga sana misele kwa mwalimu kutafuta kuungwa mkono,na alikuwa akipata uchochoro kupitia kwa mtoto wa Nyerere aitwae Salim Ahmed Salim.
Saddam kuona hivyo,naye akatuma ujumbe mzito kwa Nyerere,kuomba kuungwa mkono na Nyerere,ujumbe huo uliongozwa na makamu wa Rais wa Iraq,Bwana Twaha Muhiddin Al Maarouf,ndipo baada ya muda mfupi tukasikia vita imeisha,mpaka leo hatujajua Mwalimu aliongea nini na kada yule wa Baath party
Mwalimu hakuwahi kumfuata Saddam,labda alipita kujaza mafuta ndege tu

Hiyo habari ya nyerere kumfokea saddam ndio kwanza naisikia leo. Il kuanzia 1979 mpaka 1986 kulikuwa na vita ghuba ya uajemi. Kati ya iran na iraq. Marekani akimsaidia Sadam kabla ya kumgeuka 1990 kwenye ile vita ya dersist storm.

Labda ndio mleta mada anazungumzia

Nilishasema details zimenitoka. Nakubali nimechanganya miaka/vita ila sina uhakika nilipatia vita husika (Vita ya Ghuba 1990) au miaka husika (kwa maana ya vita ya Iran vs Iraq 1980).

Nitarudi nikiwa na details kamili ila hii story niliambiwa na watu ninaowaamini na siyo kijiweni!

Pascal Mayalla kama unajua lolote kwenye hili embu tupia neno. Wana nzengo wananishambulia kama mpira wa kona.
 
Back
Top Bottom