mululu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2014
- 749
- 406
Siku jeshi la polisi likija kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa NATABIRI watanzania tunaenda kushuhudia MAFURIKO ambayo ni zaidi hata ya yale ya mwaka jana ya kuzungusha mikono ya MABADILIKO.
Kwanini? kwa niwajuavyo wabongo wanapenda sana kuona kile kilichokuwa KIKIKATAZWA, pia wanasiasa wa upinzani watakuwa wamejikoki kutoa hotuba za kuvutia na zenye mashiko kwa maslahi mapana ya taifa, kwanini? kwa sababu hii kamatakamata imewaboresha munoo....
Je, wanzangu munahisi itakuwaje?
Kwanini? kwa niwajuavyo wabongo wanapenda sana kuona kile kilichokuwa KIKIKATAZWA, pia wanasiasa wa upinzani watakuwa wamejikoki kutoa hotuba za kuvutia na zenye mashiko kwa maslahi mapana ya taifa, kwanini? kwa sababu hii kamatakamata imewaboresha munoo....
Je, wanzangu munahisi itakuwaje?