Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Wewe huna cha kumshauri kama huna ushawishi wa kubadilisha hali ndani ya chama chako.Mfalme mzee mpumbavu asiyejua kupokea maonyo ni magufuli
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Huoni kamaa wapumbavu ni kina nyinyi ambao mtu anakuongozeni kama mapunda tangu mwaka 2004 mpaka leo hii!!.
Huoni kama nyinyi ni mazuzu kabisa, maana mmeshauzidi hata ule upumbavu, mnaendeshwa kama kondoo walionyweshwa gongo.
Ushauri bora anzeni kwanza kuutoa ndani ya CDM ili iweze kuwa na sura mpya, vinginevyo mtaendelea kuwa SACCOS ya wachache wanaowatumieni nyinyi kama "vichwa" vya kupigia pesa ndefu ya ruzuku.