ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
HahahahaMungu amsaidie apone salama ila pia tunashukuru kwa kulifanya jimbo kuwa maskini kupindukia na kukosa mwelekeo tangu uchukue uongozi 2010 Mungu akutangulie upone salama
HahahahaMungu amsaidie apone salama ila pia tunashukuru kwa kulifanya jimbo kuwa maskini kupindukia na kukosa mwelekeo tangu uchukue uongozi 2010 Mungu akutangulie upone salama
Wewe ni mzalendo?! Mngekuwa na chembe ya uzalendo msingeliingiza nchi chaka ya mikataba!!akipona awe mzalendo wa nchi yake
Tumejaa mkuuKumbe wenyewe mpo?
Wazee wa, mbuyane, umufangaTumejaa mkuu
Hahaha. Wewe utakuwa "uncle" bila shaka!Wazee wa, mbuyane, umufanga
Mungu amlinde siku zote hakika Tundu Lissu ni mpango wa MunguAdui zako na watesi wako wajinga na wapumbavu walitegemea kubadili historia yako ila Mungu wetu akasimama pamoja nawe. Huko waliko baadhi yao wametubu kimya kimya na wengine aibu zimewajaa usoni. Mungu wetu ni mkuu sana na kwa hakika hashindwi kitu. Happy birthday Kamanda Lissu, live long
[HASHTAG]#KUMBUKUMBU[/HASHTAG] Januari 20, 1968, alizaliwa Mbunge wa Singida Mashariki na mwanasheria maarufu nchini Tanzania,Tundu Lissu huko Ikungi Mungu ampe maisha marefu,miaka 50 mingine ya kuendelea kutetea wanyonge wa taifa .
Happy Birthday Comrade Tundu Lissu Tanzania need you
Tunamtakia heri, baraka na afya njema.
View attachment 680509
View attachment 680510
View attachment 680512
View attachment 680516
Mkuu mbona tayari ni mzalendo kwa nchi yake?akipona awe mzalendo wa nchi yake