kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 454
- 419
Unamaanisha Akipona awe mjinga.akipona awe mzalendo wa nchi yake
Baba yako anaona aibu leo hii kisa lisu hakufa.
Mungu si Sisonje wewe!
Unamaanisha Akipona awe mjinga.akipona awe mzalendo wa nchi yake
,hakika!Kama mtu mzima..ila kakosa busara kwa tamaa za dunia na kutamba kuvimbisha tumbo lake ambalo kwa sasa limejaa kuharibika..
The best message on this threadHbd mtetezi wa kweli wa wananchi wenzako! Jitunze sana ili ile kweli uliyotumwa na Mungu ambayo wengi hawaioni kwa upofu wa mioyo yao ije kushihirika soon!
Pole yako mwanaharamu weweKama mtu mzima..ila kakosa busara kwa tamaa za dunia na kutamba kuvimbisha tumbo lake ambalo kwa sasa limejaa kuharibika..
We mke wa mtu una matatizo sana.Pole yako mwanaharamu wewe
Kumbe wenyewe mpo?Njaghamba Lesu mboyane. Mungu akamilishe mpango wake kwa mtu wake
Kweliakipona awe mzalendo wa nchi yake
AiseeSema kutumikia wananchi wa jimbo lake waliomchagua