Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 923
- 547
Siku hizi hatujali kabisa, hata chembe ya aibu hatuoni yani tunafanya kama vile hakuna kitu kitakachodhuru nafsi. Kila jambo ovu tunahalalisha kuwa jema kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa.Kitu kinaweza kuwa dhambi kwako lakini kikawa halali kwa mwingine..
Kwahiyo hata kula jicho ni halalikabisa.
kula nguruwe ni dhambi kwa waislam ila halali kwa wakristo.
ni halali kwa wakristo kusema Yesu ni Mungu ila kwa waislamu ni dhambi, mwanadamu hawezi kuwa Mungu.
kwa waislam ni halali kusema kuna majini wazuri na wabaya, kwa wakristo kuamini majini ni dhambi na hakuna majini wazuri kwa maana zote ni roho chafu.
kwa hio dhambi ni tafsiri binafsi tu inayotokana na mazingira mtu aliyokulia. watu wanakosea kwenye kugeneralize mambo. there's no generalization, there's no one answer for all questions. Once u understand that you will live a peaceful life.
kabisa.
kula nguruwe ni dhambi kwa waislam ila halali kwa wakristo.
ni halali kwa wakristo kusema Yesu ni Mungu ila kwa waislamu ni dhambi, mwanadamu hawezi kuwa Mungu.
kwa waislam ni halali kusema kuna majini wazuri na wabaya, kwa wakristo kuamini majini ni dhambi na hakuna majini wazuri kwa maana zote ni roho chafu.
kwa hio dhambi ni tafsiri binafsi tu inayotokana na mazingira mtu aliyokulia. watu wanakosea kwenye kugeneralize mambo. there's no generalization, there's no one answer for all questions. Once u understand that you will live a peaceful life.
Ni Mwana yupi alistahili kuangaliwa zaidi na Babaye?Chuki ni dhambi mbaya sana kwangu mimi unaweza ukatenda ilivyo halali pasipo kukiuka mafunzo yoyote kutokana na imani yako ilivyo lkn km una chuki ya kiuonevu kwa binadamu wenzio ni sawa sawa na bure na ipo siku utalipia hilo na kamwe huwezi kuipata furaha hata ungerithishwa ulimwengu mzima
Mfano ni ile habari ya mwana mpotevu alivyotapanya mali ya baba yake hapa alifanya haramu kuwa halali kwake ndugu yake akayaishi mazuri ya baba yake lkn yule mwana muovu aliporudi kwa magoti na kukiri makosa yake kwa baba yake alisamehewa na akabarikiwa zaidi, upande mwingine wa ndugu yake chuki yake ikamea na mwisho wake haukuwa mzuri
Hakuna mkamilifu Hilo ujueNi Mwana yupi alistahili kuangaliwa zaidi na Babaye?
Je ni yule aliyechota sehemu ya mali ya Babaye na kwenda kutapanya na baada ya mali kwisha ndipo akaja kung'amua ya kuwa ametenda kosa au ni yule aliye - remain faithful and stick to his Father all the time?
Na je Baba yao alikuwa sahihi kumbariki zaidi yule mchota mali kuliko yule mkamilifu?
Unafikiri life is always fair?