Siku hizi undugu ni ‘overrated’

kuna watu wanashangaa kusikia kuna unafki kwenye ndugu wa tumbo moja, jamani yapoo tena saaaaana hasa kunapokuwa na matabaka ya walionacho sana na wasionacho hapo ni kasheshe, nimeyaona mie. Na tatizo mkiwa mmezaliwa wengi,unakuta labda mpo 9 au 10 wa tumbo moja lakini mkiwa wachache mfano 3 au 4 hali huwa shwari. Nakuna familia zingine wote hali zao za kuunga unga tu lakini uuuuwi ni mabifu yasioyoisha kulogana yaani balaa tupu. Kama hujayaona au hayajakukuta mshukuruni sana Mungu
 
kuna watu wanashangaa kusikia kuna unafki kwenye ndugu wa tumbo moja, jamani yapoo tena saaaaana hasa kunapokuwa na matabaka ya walionacho sana na wasionacho hapo ni kasheshe, nimeyaona mie. Na tatizo mkiwa mmezaliwa wengi,unakuta labda mpo 9 au 10 wa tumbo moja lakini mkiwa wachache mfano 3 au 4 hali huwa shwari. Nakuna familia zingine wote hali zao za kuunga unga tu lakini uuuuwi ni mabifu yasioyoisha kulogana yaani balaa tupu. Kama hujayaona au hayajakukuta mshukuruni sana Mungu
Mpoki mjinga eti anasemaga ukiona mzazi kazaa watoto kuanzia 6-10, huyo si mzazi bali ni mfugaji
 
Hivi nchi zilizoendelea kama US wana maswala ya ukoo? Sijui shemeji yake mjomba, bibi yake binamu na kaka yake shangazi?
Yani mnakutana msibani watu 1000 wote ndugu.
Hasa familia tajiri wanajali sana koo zao watu kama familia ya kifalme UK na Rothschildren, hata hapa Tanzania kama huna hela huwezi kuona ndugu ila ukiwanazo watakujali na kukutembelea vizuri sana.
 
Back
Top Bottom