Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,974
- 95,473
Hahahahah nimecheka hadi nimepaliwa. Yani mgonjwa unapata kwanza dozi afu ndo hela ya kwenda hospitali. Aaah watu hawana huruma jamani khaaahahaaaaaaa nimecheka saaana khaaaa maisha haya
ila mungu mwema kwa kweli alitenda
maaana hela ilikuwa haitumwi hata uwe na maralia lazima uifate na ukuni juu kushusha joto