KERO Siku hizi Taasisi za Umma na Ofisi nyingi za Serikali watumishi wanachelewa kazini, chai wanakunywa Saa nzima, wana majibu ya ovyo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
26,420
80,699
Weledi wa kazi umepunguwa, watu wamegeuka miungu watu , yaan fulu tafurani.

Kuna Mahali nilikuwepo kama wiki tatu, watumishi wanaingia kazin kuanzia mishale ya saa tatu mpaka nne Asubuhi .

Saa Tano wanaenda kunywa chai, Saa Saba nanusu wanaenda kula Cha mchana, Kwa hiyo Milo miwili ,Masaa mawili yanakata.

Ebwana wanajikuta miungu watu, nyodoo, na ule "Mimi hapa ndio top " , wanapenda kuabudiwa balaa, ila utendaji kazi SIFURI .

Sasa picha linaanza, kwenye Taasi husika yenyewe, Watumishi wanaingia kazin kuanzia saa nne kasoro , kuanzia mpango kazi ,utendaji ,uwajibikaji ni ilimradi siku iishe.

Hakika MAGUFULI atakumbukwa Kwa nidhamu aliowapa watumishi.

UNAJUA WATANZANIA, WANA KAWAIDA YA KUSOMA MAZINGIRA, WAKIONA KIONGOZI WA JUU NI LEGELEGE NA WAO WANAPITIA HUMOHUMO.

Unakutana na Kiongozi ,picha linaanza, anakuambia Kula Kwa urefu wa kamba, hujakaa sawa, anakuambia sipendi kufoka nyie watu wazima , unageuka kushoto , Mimi naongea Kwa karamu 🤣🤣 duuh!!.

Hivi hata UISLAMU ndio unawafundisha kuiona Pepo ni kufumbia macho ujinga?.
 
Weledi wa kazi umepunguwa, watu wamegeuka miungu watu , yaan fulu tafurani.

Kuna Mahali nilikuwepo kama wiki tatu, watumishi wanaingia kazin kuanzia mishale ya saa tatu mpaka nne Asubuhi .

Saa Tano wanaenda kunywa chai, Saa Saba nanusu wanaenda kula Cha mchana, Kwa hiyo Milo miwili ,Masaa mawili yanakata.

Ebwana wanajikuta miungu watu, nyodoo, na ule "Mimi hapa ndio top " , wanapenda kuabudiwa balaa, ila utendaji kazi SIFURI .

Sasa picha linaanza, kwenye Taasi husika yenyewe, Watumishi wanaingia kazin kuanzia saa nne kasoro , kuanzia mpango kazi ,utendaji ,uwajibikaji ni ilimradi siku iishe.

Hakika MAGUFULI atakumbukwa Kwa nidhamu aliowapa watumishi.

UNAJUA WATANZANIA, WANA KAWAIDA YA KUSOMA MAZINGIRA, WAKIONA KIONGOZI WA JUU NI LEGELEGE NA WAO WANAPITIA HUMOHUMO.

Unakutana na Kiongozi ,picha linaanza, anakuambia Kula Kwa urefu wa kamba, hujakaa sawa, anakuambia sipendi kufoka nyie watu wazima , unageuka kushoto , Mimi naongea Kwa karamu 🤣🤣 duuh!!.

Hivi hata UISLAMU ndio unawafundisha kuiona Pepo ni kufumbia macho ujinga?.
Kila mtu avute kamba yake
 
Uwajibikaji bongo changamoto saana, kuanzia ngai za juu mpaka chini,
Weledi tabu, hatuna utu pia
 
Weledi wa kazi umepunguwa, watu wamegeuka miungu watu , yaan fulu tafurani.

Kuna Mahali nilikuwepo kama wiki tatu, watumishi wanaingia kazin kuanzia mishale ya saa tatu mpaka nne Asubuhi .

Saa Tano wanaenda kunywa chai, Saa Saba nanusu wanaenda kula Cha mchana, Kwa hiyo Milo miwili ,Masaa mawili yanakata.

Ebwana wanajikuta miungu watu, nyodoo, na ule "Mimi hapa ndio top " , wanapenda kuabudiwa balaa, ila utendaji kazi SIFURI .

Sasa picha linaanza, kwenye Taasi husika yenyewe, Watumishi wanaingia kazin kuanzia saa nne kasoro , kuanzia mpango kazi ,utendaji ,uwajibikaji ni ilimradi siku iishe.

Hakika MAGUFULI atakumbukwa Kwa nidhamu aliowapa watumishi.

UNAJUA WATANZANIA, WANA KAWAIDA YA KUSOMA MAZINGIRA, WAKIONA KIONGOZI WA JUU NI LEGELEGE NA WAO WANAPITIA HUMOHUMO.

Unakutana na Kiongozi ,picha linaanza, anakuambia Kula Kwa urefu wa kamba, hujakaa sawa, anakuambia sipendi kufoka nyie watu wazima , unageuka kushoto , Mimi naongea Kwa karamu 🤣🤣 duuh!!.

Hivi hata UISLAMU ndio unawafundisha kuiona Pepo ni kufumbia macho ujinga?.
Haijaanza Leo hii, kipindi Fulani nilikuwa napiga mishe Dodoma, nilikuwa kaenda kula kwenye ka mgahawa pale Duwasa,
Wale staff wa Duwasa, wakifika kazini asubuh, wanaingia ofsn,saa mbili wanaenda kupiga chai nje ya ofc Yao, opposite na geti Lao, wakifika, hapo ni story tu, umbea,mpila, na upuuzi, mwingine, wakikaa kidogo, wanachungulia nje, kucheki boss kafika!wasipoona gari yake,story zinaendelea! Wale kenge ni wavivu balaa,
Upande wa pili, kuna data centre ya voda,ma engineer wanapiga chai huku kazi, inaendelea, hata wakiwa wametoka, akaja mteja anataka huduma, lunch inasitishwa mtu ahudumiwe! Serikalini kuna security kubwa, ujitume, ulale lale, salary inaingia tu,
Tayari kuna tafiti,imefsnywa na tamisemi, asilimia 40 ya watumishi wanakula salary tu, hawafanyi kazi
 
Weledi wa kazi umepunguwa, watu wamegeuka miungu watu , yaan fulu tafurani.

Kuna Mahali nilikuwepo kama wiki tatu, watumishi wanaingia kazin kuanzia mishale ya saa tatu mpaka nne Asubuhi .

Saa Tano wanaenda kunywa chai, Saa Saba nanusu wanaenda kula Cha mchana, Kwa hiyo Milo miwili ,Masaa mawili yanakata.

Ebwana wanajikuta miungu watu, nyodoo, na ule "Mimi hapa ndio top " , wanapenda kuabudiwa balaa, ila utendaji kazi SIFURI .

Sasa picha linaanza, kwenye Taasi husika yenyewe, Watumishi wanaingia kazin kuanzia saa nne kasoro , kuanzia mpango kazi ,utendaji ,uwajibikaji ni ilimradi siku iishe.

Hakika MAGUFULI atakumbukwa Kwa nidhamu aliowapa watumishi.

UNAJUA WATANZANIA, WANA KAWAIDA YA KUSOMA MAZINGIRA, WAKIONA KIONGOZI WA JUU NI LEGELEGE NA WAO WANAPITIA HUMOHUMO.

Unakutana na Kiongozi ,picha linaanza, anakuambia Kula Kwa urefu wa kamba, hujakaa sawa, anakuambia sipendi kufoka nyie watu wazima , unageuka kushoto , Mimi naongea Kwa karamu 🤣🤣 duuh!!.

Hivi hata UISLAMU ndio unawafundisha kuiona Pepo ni kufumbia macho ujinga?.
Wewe ni "Quality Control Audit General" wa public work places? Basi narrate measures for improvement
 
walimsema vibaya weeeee mzee wa watu mpaka kaamua kujiondokea wacha muione joto ya jiwe
Kila kitu kimevurugwa. Kuanzia ujenzi wa barabara alizokuwa anajenga,Hakuna kinachoendelea. Mradi wa umeme upo upo tu. Vinginevyo tungekiwa tumefikia kuuza nje angekuwepo. Utendaji maofisini wa ovyo. Wanaoishia kuumia ni wananchi wa chini
 
Weledi wa kazi umepunguwa, watu wamegeuka miungu watu , yaan fulu tafurani.

Kuna Mahali nilikuwepo kama wiki tatu, watumishi wanaingia kazin kuanzia mishale ya saa tatu mpaka nne Asubuhi .

Saa Tano wanaenda kunywa chai, Saa Saba nanusu wanaenda kula Cha mchana, Kwa hiyo Milo miwili ,Masaa mawili yanakata.

Ebwana wanajikuta miungu watu, nyodoo, na ule "Mimi hapa ndio top " , wanapenda kuabudiwa balaa, ila utendaji kazi SIFURI .

Sasa picha linaanza, kwenye Taasi husika yenyewe, Watumishi wanaingia kazin kuanzia saa nne kasoro , kuanzia mpango kazi ,utendaji ,uwajibikaji ni ilimradi siku iishe.

Hakika MAGUFULI atakumbukwa Kwa nidhamu aliowapa watumishi.

UNAJUA WATANZANIA, WANA KAWAIDA YA KUSOMA MAZINGIRA, WAKIONA KIONGOZI WA JUU NI LEGELEGE NA WAO WANAPITIA HUMOHUMO.

Unakutana na Kiongozi ,picha linaanza, anakuambia Kula Kwa urefu wa kamba, hujakaa sawa, anakuambia sipendi kufoka nyie watu wazima , unageuka kushoto , Mimi naongea Kwa karamu 🤣🤣 duuh!!.

Hivi hata UISLAMU ndio unawafundisha kuiona Pepo ni kufumbia macho ujinga?.
Mfuate huyo mshamba wako, hoja ya kipuuzi kwl Magu aliongoza miaka 5 tu nchi hii ilikuwepo kabla yake miaka mingi ikiwa huru na yenye uongozi kwa miaka zaidi ya 55. Lile jinga alituharibia nchi. Halafu we ni mwongo, mzushi hakuna ofisi ya namna hiyo
 
Kila kitu kimevurugwa. Kuanzia ujenzi wa barabara alizokuwa anajenga,Hakuna kinachoendelea. Mradi wa umeme upo upo tu. Vinginevyo tungekiwa tumefikia kuuza nje angekuwepo. Utendaji maofisini wa ovyo. Wanaoishia kuumia ni wananchi wa chini
Yule jinga Hana barabara alijenga
 
Watanzania wote mko hivyo, imetokea tu kwamba hao wako kwenye ofisi za umma.

Watanzania ni wavivu, wezi, mafisadi, wanafiki, mbumbumbu na waoga kama kunguru. Hii ni kuanzia juu pale mpaka chini kabisa kwa mateja wanaoshinda vijiweni.
Usiandike kama vile unawajua watanzania wote labda huo upuuzi wote ulioandika hapo umejiandika wewe
 
Back
Top Bottom