Mambo madogo unayozungumzia ni yapi maana:Nimemfuatilia kwenye masuala mengi yanayotokea nchini hivi karibuni na kuona namna ambavyo ameyahandle. Hakika amebadilika.
Siye yule mkali, mkorofi na mwenye maamuzi magumu ya haraka haraka. Hata kesi dhidi ya watu wanaomkejeli zimepungua.
Now he is acting very presidential. Hajihusishi tena na kuongelea mambo madogo madogo. Ameamua kuwapa nafasi wasaidizi wake kuchukua hatua huku yeye akisimamia matokeo tu.
Nampongeza kwa uungwana na hekima hii. Ni bora zaidi akiwa hivi.
You are very rightKuna suala kubwa litatokea week hii linaandaliwa utamuona tu Magufuli
Utakuwa humjui Magufuli vizuriNimemfuatilia kwenye masuala mengi yanayotokea nchini hivi karibuni na kuona namna ambavyo ameyahandle. Hakika amebadilika.
Siye yule mkali, mkorofi na mwenye maamuzi magumu ya haraka haraka. Hata kesi dhidi ya watu wanaomkejeli zimepungua.
Now he is acting very presidential. Hajihusishi tena na kuongelea mambo madogo madogo. Ameamua kuwapa nafasi wasaidizi wake kuchukua hatua huku yeye akisimamia matokeo tu.
Nampongeza kwa uungwana na hekima hii. Ni bora zaidi akiwa hivi.
Na hasa binadamu wenyewe toka Ufipa.Akioongea mtasema anaongea sana..akinyamaza mtasema kwa mpole...akifanya vile mtasema hivi...Binadamu hana jema
Duuh ndg zetu wataishia jera kama si kupotea ktk mazingira ya kutatanisha!.Mambo madogo unayozungumzia ni yapi maana:
- Shaffih Dauda na MC Luvanda wamekaa MAHABUSU BILA DHAMANA WIKI MBILI kwa kosa la KUMILIKI YouTube Chanel.
- Unayajua maagizo anayoyatoa OFF MEDIA ?
Tangu aanze kuongea kaongea nini cha maana zaidi ya FYATUAAAAAAAAAkioongea mtasema anaongea sana..akinyamaza mtasema kwa mpole...akifanya vile mtasema hivi...Binadamu hana jema
Kiama kitakapo wafikia ndo watatathiminiNdo hapo tuulizane, ila kuna wengine wanaona kawaida kwa vile haijafika kwao
Amepata experience mkuu.Hii ni kawaida,si unajua hakupitia ubalozi,udiwani,Nimemfuatilia kwenye masuala mengi yanayotokea nchini hivi karibuni na kuona namna ambavyo ameyahandle. Hakika amebadilika.
Siye yule mkali, mkorofi na mwenye maamuzi magumu ya haraka haraka. Hata kesi dhidi ya watu wanaomkejeli zimepungua.
Now he is acting very presidential. Hajihusishi tena na kuongelea mambo madogo madogo. Ameamua kuwapa nafasi wasaidizi wake kuchukua hatua huku yeye akisimamia matokeo tu.
Nampongeza kwa uungwana na hekima hii. Ni bora zaidi akiwa hivi.
Duh sikatai kuwa kuna muda anatema pumba zake....lakini siamini kuwa hakuna sehemu ambayo anakosa kupata pongeziTangu aanze kuongea kaongea nini cha maana zaidi ya FYATUAAAAAAAA
Taja penye pongezi tuone kama panastahiliDuh sikatai kuwa kuna muda anatema pumba zake....lakini siamini kuwa hakuna sehemu ambayo anakosa kupata pongezi
Kupinga sikatai kupo na ni sehemu yakoonyesha udhaifu ulipo...lakini si vyema hata yale yaliyo mazuri tukapinga
Taifa nila kwetu sote na wala si busara kuleta ushabiki kama wa kwenye mpira
Hakuna ulazima wa kutaja...kwanza hilo ni swala la mtazamo,huenda ikiwa una mtazamo hasi dhidi ya jamaaTaja penye pongezi tuone kama panastahili
Hujaweka namba ya simu mkuu.Nimemfuatilia kwenye masuala mengi yanayotokea nchini hivi karibuni na kuona namna ambavyo ameyahandle. Hakika amebadilika.
Siye yule mkali, mkorofi na mwenye maamuzi magumu ya haraka haraka. Hata kesi dhidi ya watu wanaomkejeli zimepungua.
Now he is acting very presidential. Hajihusishi tena na kuongelea mambo madogo madogo. Ameamua kuwapa nafasi wasaidizi wake kuchukua hatua huku yeye akisimamia matokeo tu.
Nampongeza kwa uungwana na hekima hii. Ni bora zaidi akiwa hivi.
Sasa yupo another level, snatching, kidnapping, killing his critics and matajiri, sasa watu wanafanywa chochote, popote.Nimemfuatilia kwenye masuala mengi yanayotokea nchini hivi karibuni na kuona namna ambavyo ameyahandle. Hakika amebadilika.
Siye yule mkali, mkorofi na mwenye maamuzi magumu ya haraka haraka. Hata kesi dhidi ya watu wanaomkejeli zimepungua.
Now he is acting very presidential. Hajihusishi tena na kuongelea mambo madogo madogo. Ameamua kuwapa nafasi wasaidizi wake kuchukua hatua huku yeye akisimamia matokeo tu.
Nampongeza kwa uungwana na hekima hii. Ni bora zaidi akiwa hivi.
UIzinduzi wa nini tena mbona vya kuzindua vimeisha. Au marudio, au ataenda kukugua sgr?Kuna suala kubwa litatokea week hii linaandaliwa utamuona tu Magufuli
Kule Tarime OCD alitumwa na wafanyabiashara wakubwa wa madini akaenda kuwapiga wachimbaji wadogo wadogo masikini wanyonge kisha kuwabambikia kesi ili pindi wakiwa jela matajiri wanatumia fursa kuwaibia madini kisha kugawana na OCD, RPC na DC lakini mpaka leo magufuli hajawatumbua anawaogopa kama ambavyo humuogopa BashiteUpole upi uo? mbona mambo sesitive jamaa hayafanyii kazi?
Mwambie aongelee utekaji na watu kupigwa risasi kama ana ubavu