minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Kwani aliyemtuma Rais wako mtukufu aanzishe operations ya vyeti feki alifanya kazi kwa mazoea? Wale waliofukuzwa kazi kisa vyeti feki wana tofauti gani na Bashite? au kutofanya kazi kwa mazoea ni kukataa kuona mapungufu ya kipenzi chake Bashite? aendelee kupiga kazi ya nini? Visasi kwa akina Hanspope na wenzao? Apige kazi kujenga kiwanja cha ndege kijijini chato? au apige kazi kununua wapinzani kurudia chaguzi kwa gharama huku pesa za walipa kodi zikiteketea kwa mambo yasiyo na Tija kwa Taifa? Nani atanyooka kwa mapungufu hayo? Utanyooka mwenyewe unayeishi ghetto kwa le mutuz na kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zote.Nachomkubali Raisi wangu huwa hafanyi kazi kwa Mazoea bali kuendena na wakati na mazingira hivyo porojo kama hizi huwa hazimpi tabu.
Endelea kupiga kazi Mh. Raisi kumbe wanafiki wanakuponda ila moyoni wanakukubali kiaina, na mtanyooka tu.
#Viva Magu 2015-2025
#DG