scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 225
- 368
Habarini za wakati huu wakuu naomba nisiende mbali niingie kwenye mada moja kwa moja kama kichwa kinavyojieleza
Wakuu siku hizi nimekuwa mtu wa ajabu kweli, yaani nimekuwa na wivu usio na maana kabisa na sijui namna ya kurekebisha hii hali kwa kweli yaani unakuta rafiki yangu yupo na demu wake akimkumbatia mbele yangu yaani nahisi vibaya mpaka hata macho yanajionesha kabisa wazi sio kama demu sina ninaye pia ila hivyo tu sipendi
Nahisi kuna mwenzangu mmoja ameshaniona hii tabia yaani akija naye anamkumbatia kabisa na kumkiss mbele yangu huku ananiangalia. Kweli huwa nashindwa kuvumilia mpaka machozi yananilengalenga kabisa sio kwamba nawatamani mashemeji hapana sina hisia nao ila basi tu sijui nikoje au ni kawaida wakuu KARIBUNI NASIKILIZA MAWAZO YENU WAKUU HIKI KITABIA CHANGU KIPYA KINANIKERA SANA
Wakuu siku hizi nimekuwa mtu wa ajabu kweli, yaani nimekuwa na wivu usio na maana kabisa na sijui namna ya kurekebisha hii hali kwa kweli yaani unakuta rafiki yangu yupo na demu wake akimkumbatia mbele yangu yaani nahisi vibaya mpaka hata macho yanajionesha kabisa wazi sio kama demu sina ninaye pia ila hivyo tu sipendi
Nahisi kuna mwenzangu mmoja ameshaniona hii tabia yaani akija naye anamkumbatia kabisa na kumkiss mbele yangu huku ananiangalia. Kweli huwa nashindwa kuvumilia mpaka machozi yananilengalenga kabisa sio kwamba nawatamani mashemeji hapana sina hisia nao ila basi tu sijui nikoje au ni kawaida wakuu KARIBUNI NASIKILIZA MAWAZO YENU WAKUU HIKI KITABIA CHANGU KIPYA KINANIKERA SANA