Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 551
- 156
Imekuwa tofauti na zamani tabia, heshima na uchapa kazi ndivyo vilikuwa vikizingatiwa, lakini siku hizi bila pesa utahangaika kumpata mpenzi/mke, kwahiyo vijana ili umpate mke mwema fanya kazi kwa bidii, sasa sijui mwanamke ili apate mme mwema afanyeje.?