Dawa bado zinafanyiwa uchunguzi, isije zikawa na virus vya CoronaMSD si alipelekwa mwanajeshi kua boss wa hapo?
Namna gani paleeeeeee,kwako mwl kashasha.
Asante ndugu kwa ufafanuzi lakini hebu samahani hivi msd inamilikiwa na nani na ni kwanini hela icheleweshwe kumbe serikali wenyewe wameshaweka no kukopa?Tatizo la ukosefu wa dawa katika hospital za umma ni la kiufundi sana(very techinical issue). Ni kwamba sera ya wizara au agizo la serikali awamu ya tano ni kwamba wanunue dawa MSD kwa pesa taslimu, ni marufuku MSD kukopesha dawa hata kwenye taasisisi za serikali. Serikali hiyo hiyo haipeleki pesa kwenye taasisi zake kwa wakati na kama inapeleka inakuwa imechelewa sana ili taasisi hizo ziwezo kutumia pesa hizo kununua dawa MSD kwa pesa cash.
Matokeo yake MSD dawa zimejaa, mahospitalini hasa ya serikali dawa hakuna kisa wanakuwa hawajapewa pesa za kununua dawa MSD Kwa hela cash.
Vipi na kwa tusiojua/tusioelewa tiba za mitishamba?Hujui mitishamba mkuu...ulishaambiwa nenda kanywe na usiizarau si kwa ajili ya covid tu hata magonjwa mengine.....Kanywe mwa40..uso utakuparama lakini baada ya siku wiki unarudi kwenye hali ya kawaida..haya ndio maendeleo tuliyonayo sasa hv..
Hata yule mkurugenzi wa msd aliyeko gerezani sasa hivi alisema tunaidai serikali pesa nyingi(billions) baada ya hapo hakuchukua round akatumbuliwa na kesi juu.Asante ndugu kwa ufafanuzi lakini hebu samahani hivi msd inamilikiwa na nani na ni kwanini hela icheleweshwe kumbe serikali wenyewe wameshaweka no kukopa?
pole kwa tatizo ulilolionaHabari wadau...
Kuanzia ishu ya korona ikolee nimefika baadhi ya hospitali na zahanati katika mikoa kadhaa (takribani minne) lakini sijawahi kuona mtu apate palepale hospitalini dawa zote anazoandikiwa (hususani dawa ndogondogo).
Lazima mtu upatiwe dawa moja nyingine unaambiwa ukanunue maana hapo hazijaletwa/zimeisha. Mwanzo niliona kawaida lakini naona sasahivi hali inachanganyia maana mtu anaandikiwa dawa lakini zote yawezekana akalazimika kwenda kununua
Dawa ambazo ni adimu haswahaswa ni Paracetamol, Diclofenac, Amoxicillin, mabomba ya sindano na baadhi ya dawa nyingine nyingi ndogondogo yaani mtu unasema kwajili nina bima nijikakamue nauli tu matokeo yake akiba ya kununua chakula yote inaishia kwenye kununua dawa unarudi njaa inauma dawa zenyewe pengine umepata pungufu ya ulizoandikiwa
Tatizo ni nini mbona hospitalini hakuna dawa?
Mimi Pia nimeshangaa hili swala Kuna zahanati nne niliwahi fika zote hazina dawa, cha kushangaza mpaka panadol hakuna
Sasa wa kulaumiwa kwa nini akose kwa tatizo lililopo wazi kabisa namna hiyo?Tatizo la ukosefu wa dawa katika hospital za umma ni la kiufundi sana(very techinical issue). Ni kwamba sera ya wizara au agizo la serikali awamu ya tano ni kwamba wanunue dawa MSD kwa pesa taslimu, ni marufuku MSD kukopesha dawa hata kwenye taasisisi za serikali. Serikali hiyo hiyo haipeleki pesa kwenye taasisi zake kwa wakati na kama inapeleka inakuwa imechelewa sana ili taasisi hizo ziwezo kutumia pesa hizo kununua dawa MSD kwa pesa cash.
Matokeo yake MSD dawa zimejaa, mahospitalini hasa ya serikali dawa hakuna kisa wanakuwa hawajapewa pesa za kununua dawa MSD Kwa hela cash.