Asclepius
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 694
- 729
Me nakumbuka niko chuo nina jero tu mfukoni
Nikadaka zangu mkate wa jero nikaukata mara mbili moja nikala asubuh nyingine jion na maji siku ikapita
Kesho yake nikapata mia mbili kwa mwana tukachanga kama watani hv mia mbili mbili tukanunua dagaa wa buku tukagawana vidagaa vichache kila mmoja tukala na ugali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikadaka zangu mkate wa jero nikaukata mara mbili moja nikala asubuh nyingine jion na maji siku ikapita
Kesho yake nikapata mia mbili kwa mwana tukachanga kama watani hv mia mbili mbili tukanunua dagaa wa buku tukagawana vidagaa vichache kila mmoja tukala na ugali
Sent using Jamii Forums mobile app