Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,357
- 11,502
Dr. Bashiru aliyekuwa akifundisha UDSM Political science akija kukutana na Dr. Bashiru huyu katibu mkuu wa CCM. Watasigana sana.
Na ugomvi wao utakuwa mkubwa. Hawa watu najua watakuwa wanapingana sana mawazo na wanagombana sana ila hawajapata bahati ya kugombana Physically.
Jambo hili ndo najua litakuwa gumzo kwa muda mrefu. Tuepushiwe tu lisitokee kamwe.
Na ugomvi wao utakuwa mkubwa. Hawa watu najua watakuwa wanapingana sana mawazo na wanagombana sana ila hawajapata bahati ya kugombana Physically.
Jambo hili ndo najua litakuwa gumzo kwa muda mrefu. Tuepushiwe tu lisitokee kamwe.