Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Ipo siku tutamkimbiza huyu dikteta uchwara
povu lote hilo la nini?Kwani wamekuambia hawajasoma huo upupu wako?
Kuna watu wengine mnashangaza sana. Unajudge watu bila kufahamu undani wake badala ya kuji judge wewe.
People are trapped in history and history is trapped in them-James A. Baldwin
Nataka rais Magufuli ashindweSee? Birds of a feather...Nyani Ngabu and [B]MsemajiUkweli[/B]...what a pair, yaani ukoo ule ule!
Nikolae Ceausescu alikuwa ni Rais wa Romania na Katibu Mkuu wa chama tawala aliyetawala kwa mkono wa chuma. Kauli yake ilikuwa ni sheria na ole wake aliyethubutu kuukosoa utendaji wake vyombo vya usalama vilimshukia kama mwewe anavyoshukia vifaranga vya kuku.
Baadhi ya wananchi wakiungwa mkono na wanafunzi wa vyuo vikuu walianzisha maandamano dhidi ya serikali yake. Walikuwa wakimuunga mkono kiongozi wa kidini, Laszio Tokes, aliyekuwa anapiga vita udikteta wakidai uhuru wa kutoa maoni na kulaani ubaguzi wa kikabila.
Tarehe 17 December 1989 wakiwa wanaandamana, vyombo vya usalama ikiwa ni pamoja na Jeshi na Polisi vya nchi hiyo viliagizwa kuwashughulikia. Siku hiyo ilikuwa ni siku ya huzuni kwani pamoja na ghasia kutulizwa wananchi wengi walipoteza maisha kwa kupigwa risasi.
Siku nne baadaye tarehe 21 December1989, Caeausescu alifanya mkutano mkubwa jijini Bucharest kuonesha kwamba wananchi wa Romania walikuwa nyuma yake. Katikati ya hotuba tofauti na siku za nyuma ghafla miguno ilianza kusikika ikifuatiwa na zomea zomea!
Ceausescu hakuweza kuamini masikio yake wala macho yake kwa kilichokuwa kinatokea mbele yake! Mara vyombo vya habari kama TV na redio vilizimwa na kama kawaida vyombo vya usalama viliingia kazini na usiku kucha ilikuwa ni siku ya mapambano baina ya wananchi na polisi.
Kesho yake tarehe 22 December 1989 vyombo vya usalama vilianza kuzidiwa nguvu na wananchi baada ya baadhi yao kuweka silaha chini na kuungana na wananchi. Na siku hiyo ilibidi Ceausescu kuukimbia mji kwa helicopta iliyotua kwenye paa la nyumba walikojificha.
Somo hapa ni kwamba ukombozi huweza kucheleweshwa lakini kuna siku utapatikana tu na siku ikifika dikteta lazima akimbie atake asitake. Nicolae Ceausescu ingawa alitoroka siku hiyo lakini haikuchukua muda...alikuja kukamatwa na kurudishwa aweze kupata haki yake.[/QUOTE
Unaota ndoto ambazo kamwe hazitatimia.Ni ndoto za Abunuas aliyejenga ghorofa angani na siku nyingine alipiga teke mayai yake halisi alipoota kuaga umaskini kwa kejeli.Kwenye sanduku la kura hamuoni upenyo wa kushinda.Mmenunua mno wa watoa maamuzi ndani ya CCM Mzee wa Msoga akawathibitishia yeye mtoto wa mjini kuliko ninyi.
Mkanunua upande wa pili fursa ya kulipiza kisasi cha maumivu ya hasara,mkaongeza hasara kwa kuwanunua boda boda na wafagia barabara.Tanzania hakuna dikteta wala mama yake dikteta uchwara.Kilichopo ni dili za kihuni zimedhibitiwa.Natamani walio jirani na JPM wamshauri awaruhusu wapuuzi wanaoishi kihuni ruhusa ya kusambaza uhuni wao ili Taifa lijue tuna kundi la aina gani.
Hawana hoja ya kushawishi yeyote aliye na kazi ya kufanya.Wameambiwa zungumzeni kwenye majimbo yenu hawana cha kusema.Wanataka kuzunguka nchi nzima kutangaza ACASIA hawajawahi kutuibia,JPM dikteta,maisha magumu.Wapeni ruhusa waseme ujinga wao ujibiwe sawa sawa wananchi wapime.
Wanaota kutwa kucha maandamano wapeni,sisi tutawataka wanaohimizwa kuandamana wawaombe wanaowashauri wawatangulize mbele wake zao,watoto wao na wazazi wao.Wakikataa tutawauliza walio salia je kuna matumizi sahihi ya akili na nia njema kwa nchi na wananchi
Nikolae Ceausescu alikuwa ni Rais wa Romania na Katibu Mkuu wa chama tawala aliyetawala kwa mkono wa chuma. Kauli yake ilikuwa ni sheria na ole wake aliyethubutu kuukosoa utendaji wake vyombo vya usalama vilimshukia kama mwewe anavyoshukia vifaranga vya kuku.
Baadhi ya wananchi wakiungwa mkono na wanafunzi wa vyuo vikuu walianzisha maandamano dhidi ya serikali yake. Walikuwa wakimuunga mkono kiongozi wa kidini, Laszio Tokes, aliyekuwa anapiga vita udikteta wakidai uhuru wa kutoa maoni na kulaani ubaguzi wa kikabila.
Tarehe 17 December 1989 wakiwa wanaandamana, vyombo vya usalama ikiwa ni pamoja na Jeshi na Polisi vya nchi hiyo viliagizwa kuwashughulikia. Siku hiyo ilikuwa ni siku ya huzuni kwani pamoja na ghasia kutulizwa wananchi wengi walipoteza maisha kwa kupigwa risasi.
Siku nne baadaye tarehe 21 December1989, Caeausescu alifanya mkutano mkubwa jijini Bucharest kuonesha kwamba wananchi wa Romania walikuwa nyuma yake. Katikati ya hotuba tofauti na siku za nyuma ghafla miguno ilianza kusikika ikifuatiwa na zomea zomea!
Ceausescu hakuweza kuamini masikio yake wala macho yake kwa kilichokuwa kinatokea mbele yake! Mara vyombo vya habari kama TV na redio vilizimwa na kama kawaida vyombo vya usalama viliingia kazini na usiku kucha ilikuwa ni siku ya mapambano baina ya wananchi na polisi.
Kesho yake tarehe 22 December 1989 vyombo vya usalama vilianza kuzidiwa nguvu na wananchi baada ya baadhi yao kuweka silaha chini na kuungana na wananchi. Na siku hiyo ilibidi Ceausescu kuukimbia mji kwa helicopta iliyotua kwenye paa la nyumba walikojificha.
Somo hapa ni kwamba ukombozi huweza kucheleweshwa lakini kuna siku utapatikana tu na siku ikifika dikteta lazima akimbie atake asitake. Nicolae Ceausescu ingawa alitoroka siku hiyo lakini haikuchukua muda...alikuja kukamatwa na kurudishwa aweze kupata haki yake.
Wewe unaeijua si ungeiweka ili kupingana nae! Hoja inapingwa na hoja na maandiko kwa maandiko weka yako yenye ukweli tuyapime sio kuhoroja km chizi.Hujui historia ya Romania umeokoteza kisehemu tu cha habari na kukiwasilisha kwenye jukwaa kutafuta wajinga wakuunge mkono
Hujui historia ya Romania umeokoteza kisehemu tu cha habari na kukiwasilisha kwenye jukwaa kutafuta wajinga wakuunge mkono
Kwa kuongezea tu nampa video ambayo ni wachache waliiona siku hiyo huyo dikteta akizomewa...maneno aliyokuwa akiyasema kwa kugha yao yametafsiriwa, angalieni mshtuko alipoanza kuzomewa...!Wewe unaeijua si ungeiweka ili kupingana nae! Hoja inapingwa na hoja na maandiko kwa maandiko weka yako yenye ukweli tuyapime sio kuhoroja km chizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi tatizo la Romania la wakati huo lilikuwa ni kutaka kujenga taifa la kikomunist basi. Kwa nchi za za magharibi definition number one ya communism ni dictatorship, kama ilivyokuwa USSR enzi hizo na sasa Russia baada ya perestroika, east Germany enzi hizo, north korea kama ilivyo sasa. Kuna nchi kama Libya kwa defitinition ya nchi za magharibi enzi za Gadafi ni dictator leadership......Flashback: The New York Times, December 24th 1989
The last speech of Ceausescu - Bucharest, Romania
"In addition, reports said hundreds of citizens have been killed in Bucharest since mass demonstrations against the regime began there on Thursday, when President Ceausescu was booed and shouted into a stunned silence for three minutes as he tried to deliver a speech a day after his return from a three-day state visit to Iran. Security police opened fire on the jeering crowd. "
The event, a political rally organized by the Communist Party, was meant to show support for Ceausescu following the arrest of Rev. Laszlo Tokes, a dissident minister who had been sermonizing against Ceausescu in the city of Timisoara. Romanian television carried the rally live and broadcast it throughout Romania.
Eight minutes into his speech, something went wrong. Chants of "Shut Up!" and "Timisoara! Timisoara!" rang louder and louder throughout the square. A visibly stunned Ceausescu, unaccustomed to such blatant acts of defiance, stopped in mid-sentence.
The shock on his face was seen across the country, and later, around the world. It was the last speech he ever made. Within days, his regime had ended, and he would be hastily tried and brutally executed. The suddenness of his fall shocked the world.
monomotapa, yawezekana ulikuwa hujazaliwa lakini nakuomba uwe na heshima japo kidogo unapotumia JF. Nikolae Ceausescu hakufikiria inaweza kutokea siku wananchi waliomuona kama mungumtu wakamzomea akitoa hotuba. Ni siku ambayo hakuisahau hadi muda risasi zikimiminwa mwilini mwake, yeye pamoja na mkewe Elena.