kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Nikiangalia wapiganaji wa hiki chama ,napata picha kwamba siku chadema ikishika madaraka,viongozi waandamizi watatoka mikoa ifuatayo.
1.kilimanjaro
2.Mara
3.Arusha
4.Mwanza
5.kagera
6.Mbeya
7.Iringa.
1.kilimanjaro
2.Mara
3.Arusha
4.Mwanza
5.kagera
6.Mbeya
7.Iringa.