Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Awali ya yote nianze kumshukuru Mungu kwa kuniweka salama salimini
Kwa umri huu lengo la uzi huu
Ni kukumbushana wale tulionekana
Wajanja kumbe ni washamba wa wa kutukuka
Nianze kwa kusema tu katika maisha haya tunayoishi epuka sana kufanya
Mambo yako kijanja kijanja ipo siku
Isiyokuwa na jina wala tarehe utaumbuka amin
Tulikuwa wengi sana tuliofanya mambo yetu kijanja kijanja ila leo hii
Wengine tumehama mpaka mikoa
Kuepuka kuchekwa na tuliowaona
Washamba Hawajui kazi
Kuna wale Tulikuwa na vyeti feki vya kughushi vingine majina ya watu miaka na miaka tukijua ndiyo basi tena hakuna wa kutugusa kuna wafanya biashara tulikuwa wakwepa kodi miaka nenda rudi leo hii tumechunguzwa tukakutwa miaka 20 nyumaa hatulipi kodi kihalali ujanja ujanja tu leo hii tunalia kuna wengine ziwani tulikuwa na Serikali zetu leo hii tuulize kama tuna serikali zetu hatuna kuna wengine tulikuwa vishoka kwenye taasisi za nchi tukionekana Wajanja tumeshtukiwa ujanja wote kwisha wengine tulipata kazi kwa majina ya vigogo nao kumbe walikuwa Wajanja Wajanja leo hii tunalia kilio kimoja epuka sana ujanja ujanja mimi mwenyewe nilikuwa mfanyabiashara leseni moja miradi 6 leo hii nalia na moyo wangu
Kwa umri huu lengo la uzi huu
Ni kukumbushana wale tulionekana
Wajanja kumbe ni washamba wa wa kutukuka
Nianze kwa kusema tu katika maisha haya tunayoishi epuka sana kufanya
Mambo yako kijanja kijanja ipo siku
Isiyokuwa na jina wala tarehe utaumbuka amin
Tulikuwa wengi sana tuliofanya mambo yetu kijanja kijanja ila leo hii
Wengine tumehama mpaka mikoa
Kuepuka kuchekwa na tuliowaona
Washamba Hawajui kazi
Kuna wale Tulikuwa na vyeti feki vya kughushi vingine majina ya watu miaka na miaka tukijua ndiyo basi tena hakuna wa kutugusa kuna wafanya biashara tulikuwa wakwepa kodi miaka nenda rudi leo hii tumechunguzwa tukakutwa miaka 20 nyumaa hatulipi kodi kihalali ujanja ujanja tu leo hii tunalia kuna wengine ziwani tulikuwa na Serikali zetu leo hii tuulize kama tuna serikali zetu hatuna kuna wengine tulikuwa vishoka kwenye taasisi za nchi tukionekana Wajanja tumeshtukiwa ujanja wote kwisha wengine tulipata kazi kwa majina ya vigogo nao kumbe walikuwa Wajanja Wajanja leo hii tunalia kilio kimoja epuka sana ujanja ujanja mimi mwenyewe nilikuwa mfanyabiashara leseni moja miradi 6 leo hii nalia na moyo wangu