Ningeshangaa sana kama kwenye tamko hili kungekosekana JAZBA na uunganishaji wa sentensi zisizo na MANTIKI. Anaitumia silaha ileile ambayo katika maelezo yake anataka kuipinga. Mwislamu akikosea asiguswe wala asikemewe kwa sababu ni mwislamu, kwa hiyo anaonewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.