Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka

Haya sasa wale nyumbu waliokuwa hawanielewi leo hukumu kuhusu sakata la Escrow limethibitishi nilikuwa sahihi ingawa madudu ya aina hiyo hata awamu yanaendelea.

Kwa ujinga wao wanadhani kama awamu hii inavurunda basi nilikosea kusema nitasgangilia JK kuondoka madarakani wanasahau kuwa wao ndio vinara wa kusema awamu hii ni bora kuliko iliyopita.

Endeleeni kuwa wajinga na kudhani hizi hasara zitabebwa na wapinzani tu ili hali wote tunalipa kodi.

Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka - JamiiForums
 
Haya sasa wale nyumbu waliokuwa hawanielewi leo hukumu kuhusu sakata la Escrow limethibitishi nilikuwa sahihi ingawa madudu ya aina hiyo hata awamu yanaendelea.

Kwa ujinga wao wanadhani kama awamu hii inavurunda basi nilikosea kusema nitasgangilia JK kuondoka madarakani wanasahau kuwa wao ndio vinara wa kusema awamu hii ni bora kuliko iliyopita.

Endeleeni kuwa wajinga na kudhani hizi hasara zitabebwa na wapinzani.
Mkuu umeandika nini hiki

Naomba kueleweshwa
 
Haya sasa wale nyumbu waliokuwa hawanielewi leo hukumu kuhusu sakata la Escrow limethibitishi nilikuwa sahihi ingawa madudu ya aina hiyo hata awamu yanaendelea.

Kwa ujinga wao wanadhani kama awamu hii inavurunda basi nilikosea kusema nitasgangilia JK kuondoka madarakani wanasahau kuwa wao ndio vinara wa kusema awamu hii ni bora kuliko iliyopita.

Endeleeni kuwa wajinga na kudhani hizi hasara zitabebwa na wapinzani.
Kinyesi tu hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom