Siku 7 za maombolezo tutafakari ombi la mwisho la Mkapa kutaka kuona Tume Huru ya Uchaguzi na upinzani kushirikishwa katika tume

Namnukuu Hayati Mkapa akiongea kwenye kampeni za kumnadi Magufuli 2015!

“Ukizunguka Africa Mashariki,kusini na Afrika nzima ukiuliza chama cha ukombozu watwakwambia ni CCM! Lakini kuna watu wanajiita chama cha ukombozi hao ni Malofa na wapumbavu”
 
Kipind chake kwanini hakutaka tume huru?
Kipindi chake kilikuwa Cha kwanza siasa za vyama vingi na alikiendesha vizuri sana kwa ukweli na uwazi ndo maana hatukuona watu wanapotea, wanatekwa, wanauawa na wasiojulikana na wapinzani wanabambikiwa kesi za uchochezi, kuhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Mrithi wake, Mh Kikwete, ndo Rais pekee aliyeingia madarakani kwa uwezo na juhudi zake bila kubebwa na mtu yeyote kwa sababu ya uongozi mzuri wa marehemu.

Bahati mbaya Kikwete, ingawa Nyerere alikataa kumbeba kama alivyobeba mrithi wa pili na watatu, lakini alimwiga akambeba mrithi wake kwenye mbeleko ndani ya kiroba. Fedha zilizonunua madege cash mara tu Awamu ya Tano ilipoingia madarakani ni zile alizohifadhi Mkapa na Kikwete wakati wa uongozi wao. Tume ya Uchaguzi iliyopo bila maagizo toka juu inaweza kuwa huru.
 
Back
Top Bottom