#COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

mwe
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.

Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?

Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
nzetu umeshachanja?
toka asubuhi umenawa mikono mara ngapi?
je umejitahidi kuweka umbali kati yetu na wewe?
kama umefanya haya vizuri ila sisi hatutakufa kwa kiasi hicho
 
Kosa langu ni nini kwenye huu uzi? Ni kutoa angalizo au ni kusema kuna uzembe katika kupambana na huyu mdudu?
 
Umefishafika huko kwenye hizo siku
Itakua zaidi ya India kijijini kwenu na sio Tanzania! Walikuwepo wengi tu waliotutabiria mabaya lakini tumeuona mkono wa Mungu ukiwa pamoja nasi. Siku 60 zijazo zitakua kama siku 60 zilizopita tu!
Kwani mbona India bado naiona kwenye ramani ya Dunia
Pumba tupu, utasubiri sana kuona maiti mtaani na utabiri wako wa kishetani huo.

Huna lolote unachofanya ni kurudia tabiri za mke wa Billgate mwenyewe wajiona mjanja kumbe ni jinga la mwisho
Mjinga namba moja ni wewe
Mke wa billgate alihubiri huu ujinga wako na wala hajafanikiwa pumbavu mkubwa.

Wenye akili wakisha comment kama hivi wenzao tukija TUNAKAZIA TUU

📌🔨
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.

Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?

Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Utabiri wako ushindwe na usitimie kamwe. Tunaliombea taifa ma watu wake uzima na afya tele na Mungu aliye muaminifu atatuvusha.
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.

Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?

Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Mkuu nasema hivi "TUSITIANE HOFU" kwa maisha yetu haya kumkwepa COVID19, haiwezekani ni Mungu tu ndio ametufikisha hapa na tutavuka tu, weee kaaa na ramli zako, kwani imegeuka kuwa mradi wa viongozi halafu wananchi ndio bidhaa!!
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.

Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?

Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
aisee haya maneno tulishaambiwa sana mkuu, toka mda tu.. kabla hata ya india kabla hata ya uganda... lakini bado tuko tu, na wala hatuendi mahali,

NA HAKUNA KITU MNAWEZA KUTUFANYA
 
Vijana acheni kukaa vijiweni fanyeni kazi. Nasisitiza tafuta kazi bora upate hata buku tano ila usipoteze muda kijiweni
 
Tahadhali chukua wewe siyo uanze kutisha weñgine! Kila siku mnazungumzia hilo2 ina maana Hamna jipya la kujadili hapa? Jinga kabisa!

IMG_20210712_182140_409.jpg
 
Back
Top Bottom