#COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

Melinda Gates kwa maneno kama haya akawa divorced.
Tegemea jambo pia.
Usiufute uzi. Pin it
 
Tabiri kama hizi zilikuwepo tangu mwaka jana, walikuwa wanatupa wiki mbili
Ngoja tuone huu wako labda utakuwa kweli
 
Unaambiwa koroma inauwa ww unasema unamtegemea Mungu huoni ni kichekesho hicho
Mtu akimtaja Muumba wake kaa kimya.
Hujui wana maagano gani.
Kwa life style hata wewe unayoishi ulitakiwa uwe na kansa kama sio kisukari, lkn Muumba wako anakuhifadhi
 
1626195372550.png
 
Si mnataka kukopa ........bado mtasema siku Mia zijazo kutatokea chem chem ya maziwa ya ng'ombe kwenye Kira bonde.........mbona wakati WA mwenda zake islael alikuwa afiki Tanzania ...?? Wasio julikana Tu ndio walikuwepo SASA hivi wasiojulikana wamejificha kaibuka tena Corona baada ya mwenda zake kuondoka😳😳😳
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.

Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?

Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Mungu atunusuru
 
Hapa jf bishana ila ukiwa off line jikinge na jaribu kuwakinga uwapendao hasa wazee .Misiba kama sita nimeshudia wazee wanaenda tuweni makini .
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom