MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,165
Ilikuwa siku moja baada ya kuapishwa kwa mawaziri, Mh. Magufuri akaitikisa wizara yake kwa maelekezo na maonyo, nk.
Nikirudi kwa Rais wetu sijasikia lolote. Sidhani kama ni kawaida kwa Rais kuwa dhaifu kiasi hiki. Hivi kweli huyu mtu wetu anafahamu kazi zake? Au ni msimu kama wa zamani.
Ajabu zaidi hakuna hotuba yoyote kwa wa-TZ aliyokwisha itoa ili wapiga kura tuone kama kweli ushindi wake una manufaa kwetu. Ile nyingine ilikuwa ni kwa Bunge.
Siku 100 zinakuja bila hata kuona kama Rais wetu ana jipya au huenda ni yale yale ya Zamani. Naanza kuiona hasara itakayotupata kwa miaka 5 ijayo.
Nikirudi kwa Rais wetu sijasikia lolote. Sidhani kama ni kawaida kwa Rais kuwa dhaifu kiasi hiki. Hivi kweli huyu mtu wetu anafahamu kazi zake? Au ni msimu kama wa zamani.
Ajabu zaidi hakuna hotuba yoyote kwa wa-TZ aliyokwisha itoa ili wapiga kura tuone kama kweli ushindi wake una manufaa kwetu. Ile nyingine ilikuwa ni kwa Bunge.
Siku 100 zinakuja bila hata kuona kama Rais wetu ana jipya au huenda ni yale yale ya Zamani. Naanza kuiona hasara itakayotupata kwa miaka 5 ijayo.