Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Jana mh. JK katimiza siku 100 za utendaji wake km Rais ktk kipindi chake cha awam ya 2, swali na kitendawali kikubwa miongoni mwa wasomi ni juu ya ukimya wake juu ya mambo ya msingi yagusayo taifa, mfumuko wa bei umekuwa ukipanda juu cku hadi siku, gharama za maisha zipo juu, mtatizo na migomo vyuo vikuu, nchi gizan, madai ya katiba na sakata la ufisadi. Binafsi ukimya wake ni tatizo kwa taifa na nashindwa tambua nin mwisho wa haya, i mean taifa litadhurika vp na tutegemee nin toka kwake. TUJADILI SOTE KWA PAMOJA!