Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 306
- 281
Watanzania Waangukia Pua Kwa siku ya kwanza kwenye mashindano ya Riadha ya EAAR kwa vijana wa chini ya umri wa miaka 18 na chini ya miaka 20 inayoendelea katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar.
Matokeo yanaonyesha Ethiopia na kenya ndizo zinashikilia usukani kwa siku ya kwanza (Jana), Leo yanaendelea tena tusubiri tuone kama wataamka ingawa, maandalizi ya Wanariadha wa Tanzania ni Hafifu sana, hakuna kambi maalumu kwa wanariadha wetu.
MATOKEO
Matokeo yanaonyesha Ethiopia na kenya ndizo zinashikilia usukani kwa siku ya kwanza (Jana), Leo yanaendelea tena tusubiri tuone kama wataamka ingawa, maandalizi ya Wanariadha wa Tanzania ni Hafifu sana, hakuna kambi maalumu kwa wanariadha wetu.
MATOKEO