kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,078
- 10,384
Wakuu wiki iliyopita sikio langu liliingia maji nilijaribu kutoa kwa njia ya kuinamisha lakini maji yalitoka pamoja na uchafu sasa kuanzia juzi sikio langu limekosa kusikia yaani moja linasikia lakini hili moja nasikia kwa mbali sana naomba kwa hapa Dar es Salaam Hospitali gani inahuduma bora ya masikio.
Asanteni
Asanteni