talibomtoto
Member
- Nov 15, 2017
- 43
- 18
Sikio langu moja la upande wa kulia linatoa saut fulan ivi zinaninyima aman si mchana wala usiku saut haziishi
Nipo njombe nauliza kama kuna hospital nzuri ya maskio maana ni mwez sasa umepita tangu tatizo lianze
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo njombe nauliza kama kuna hospital nzuri ya maskio maana ni mwez sasa umepita tangu tatizo lianze
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app