Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 955
- 2,023
Habari za majukumu wapendwa leo kuna mwenzangu kapatwa na shida, asubui wkati anaamka anasema alisikia sikio linawasha ,Sasa akachukua pamba ya kusafisha masikio akaanza kusafisha,ghafla sikio la kulia likawa kma vile limeingiwa na maji na uwezo wa kusikia ukapungua ...je kabla ya yeye kwenda hospital ushauri wenu wadau afanyeje.....