Duuhh, lazima wamtafute kuanzia mtunzi aliyerekodi na yule anayesambaza na atakayesikiliza nikiwemo mimi... NAJARIBU KUWAZA HIVI AKIKUTANA NA ROMA MKATOLIKI WATAIMBA NINI? MAANA CONTENT NAISIKILIZA HUKU NAJIONEA HURMA.... Eti twiga wameenda kutibiwa.... mweeeeeeeeee...Nilikuwa nasikiliza wimbo huu,mpaka unaisha nikakosa cha kusema.
Sijui wanajamii nyie mna maoni gani.
tuonee huruma na bando zetu za kuunga-unga.
tupia mashairi tujadili mambo.
Nilikuwa nasikiliza wimbo huu,mpaka unaisha nikakosa cha kusema.
Sijui wanajamii nyie mna maoni gani.
Kweli huyu ni Mbuzi wa Kafara ila sidhani kama huu wimbo utakuja sikika kwenye Radio station yoyote.
We mkali nigeisikia wapi hii bila JF, haitapigwa Radio yoyote TZ.
"Kijijini hakuna maji,eti mnataka kuchimba bomba la gesi kutoka Mtwara"
haamini mtu ni kasuku,
Nimejaribu kwa uwezo wangu kwa kadiri nilivyoweza ila hapo kwenye red sina hakika sana,labda kwa waliosikiliza wimbo huu vizuri wanaweza wakahariri.Ila kiukweli dogo ameamua kutupia mawe kizani,tunasuri kusikia kelele kwa yeyote likatayempata!
tuonee huruma na bando zetu za kuunga-unga.
tupia mashairi tujadili mambo.
Kweli huyu ni Mbuzi wa Kafara ila sidhani kama huu wimbo utakuja sikika kwenye Radio station yoyote.
Hehehehehe naona wewe umeamua kuwa ''kuku wa shughuli'' embu iweke ringtone halafu kesho ukutane na wazee wa kung'oa kucha na meno pasipo na ganzi ''Utajuuuuta''.Hivi nnavyokwambia nshaichoma nakamua tu kwa gari yangu!
Sijuwi niiweke ringitoni?
Hebu subiri!
Mimi tHehehehehe naona wewe umeamua kuwa ''kuku wa shughuli'' embu iweke ringtone halafu kesho ukutane na wazee wa kung'oa kucha
na
meno pasipo na ganzi ''Utajuuuuta''.