paesulta
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 227
- 29
....kwa muda nimekuwa nikilalamika kuwa hatuna local based FM station ambayo tunaweza kusikiliza on line apart from Radio Maria,na inaonekana kuwa vijana wa arusha wamekuja kututoa kimasomaso,(i wonder radio za vijana kama cloudds kwa nini bado hawajaingia online...!!!??)...
check it out,its pretty decent.........
http://www.mambojamboradio.com/
or
http://radio.securenetsystems.net/radio_player_large.cfm?stationCallSign=MJFM
bila kuwasahau wakubwa wa bongo radio ambao wanajitahidi katika kutuweka karibu na nyumbani
check it out,its pretty decent.........
http://www.mambojamboradio.com/
or
http://radio.securenetsystems.net/radio_player_large.cfm?stationCallSign=MJFM
bila kuwasahau wakubwa wa bongo radio ambao wanajitahidi katika kutuweka karibu na nyumbani